snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,523
- 2,162
mkuu bila research leo ingekuwa
-unatembea na simu ukitaka internet unaingia kwenye kibanda unachomeka waya wa internet ili upate internet ila sababu wamespend kwenye research leo hii kuna minara ya simu na internet inapatikana ya kasi
-ingekuwa unadownload movie za full hd gb 20 lakini watu wamefanya research leo movie tunadownload chini ya gb
-ingekuwa vioo ni black and white watu wamefanya research leo vioo ni vya rangi
-fikiria camera za simu kali, microphone za sauti, speaker, display, battery nk vyote watu wamespend matrilion ya hela mpaka unaviona.
unapoponda research usifikiri vitu unavyoviona kwenye simu yako vimetokea tu watu wamehangaika hadi unaona vitu vizuri hivyo na tabia ya wanadamu hawaridhiki wanataka zaidi na zaidi hivyo siku zote kunahitajika mambo mapya.
Leo hii unafikiri Nokia akitoa simu ambayo haihitaji kuchaji inajichaji tu yenyewe toka kwenye jua, na unapotembea au kupitia minara ya simu unafikiri watu wangapi watapanga foleni kuinunua
Kwahiyo walikuwa wapi mpaka leo hii wadai wafanye research na tuendelee kuwasifia ?
Sifa nyingine tunazowapa ni zakijinga ilihali ukweli tunaujua, na ndio kuchelewa kwenyewe huko, Kampuni kama Samsung wataendelea kuwa on top in matter of android errand. kwasabu Changamoto ni nyingi walizokutana nazo.