Ila kama pikipiki unaifanyia biashara it's good deal kwasababu hela iliotoka mfukoni kwako ni 400,000/- tu. Tatizo hatuna nidhamu ya fedha.Same applies kwa pikipiki zao, unaanza na down-payment ya Tsh.400,000 then unalipa Tsh.86,000 weekly.
Tsh.86,000×4×12 = Tsh.4,128,000 + down-payment ya Tsh.400,000 ni kama Tsh.4,528,000
Wakati huo, ungeenda na Tsh.3,350,000(?) ungenunua HLX125 bila kusumbuka.
Mkuu ila hizi kampuni kwa sasa huwa zina bima yaani wamejiandaa kwa lolote jamboMkuu,
Ukishaitwa mkopo, lazima mkopeshaji aangalie faida, kuna risks factors nyingi hapo. Ikiharibika kabla ya mkopo kuisha kuna namna wanafanya hapo. Tusiangalie tu upande wa mkopaji, hata mkopeshaji anakuwa kwenye risks nyingi.
Changamoto ni hapo kwenye nidhamu mkuu! Wengi hatuna nidhamu, hata mikopo ya benki wengi inatushinda wakati riba zinahimilika tu.Ila kama pikipiki unaifanyia biashara it's good deal kwasababu hela iliotoka mfukoni kwako ni 400,000/- tu. Tatizo hatuna nidhamu ya fedha.
Elezea hapo kwenye bima.Mkuu ila hizi kampuni kwa sasa huwa zina bima yaani wamejiandaa kwa lolote jambo
Hawa jamaa hesabu zao zinaumiza chief..Ungekuja na takwimu halisi, Bei ya Samsung A06 kwa kukopa ni......, ili tujue watu wanapigwaje.
Mfano: down-payment ya A06 ni Tsh. 60,000
Malipo daily ni Tsh.2,376/- ambayo weekly ni Tsh.16,632/-
Monthly ni Tsh.66,528/-
Ukilipa kwa miezi sita Tsh.399,168/-
Jumlisha na ile down-payment Tsh.60,000/- + Tsh.399,168/- = 460,000.
Huyu masikini ambaye hana uwezo wa 350,000 ya pamoja, akitoa 460,000 kuna shida gani?
Watanzania wengi tunaweza kutoa 2,000 daily lakini 500,000 ya pamoja hatuna.
Majuzi kati kuna mfanya kazi wao alinipanga na kuniambia huwa wanabima kutoka kampuni ya finca na hivyo hata vifaa vyao vikipotea huwawanalipwa na hiyo kampuniElezea hapo kwenye bima.
Kuna bi mkubwa mmoja Dodoma nilimuokoa yaani anataka kununua simu ya mkopo ukipiga hesabu anatakiwa kulipa 400+k wakati dukani simu ni 300k hapo kuna 100k anapasuka bado kianzio 80k 😔Hawa jamaa hesabu zao zinaumiza chief..
Mwaka 2023 sumsung A04e Gb 64 walikuwa wanatoa kwa kianzio cha 90,000Tsh kisha unarejesha 12,000 kwa wiki ambayo nisawa na 1715 kwa siku..so 715×350=617400..
Sasa iyo 617000+90000=707000 simu ambayo cash inauzwa 250,000
Pamoja na kuwa na bima Ila lazima uhangaike na defaulters kwanza kabla hujalipwa bima.Mkuu ila hizi kampuni kwa sasa huwa zina bima yaani wamejiandaa kwa lolote jambo
AFu kingine cha hatari hizi simu sio nzuri saaana maana jamaa wanajua umefanya nini unaingia wapi na muda gani simu inakuwa haina ulinziKuna bi mkubwa mmoja Dodoma nilimuokoa yaani anataka kununua siju ya mkopo ukipiga hesabu anatakiwa kulipa 400+k wakati dukani simu ni 300k hapo kuna 100k anapasuka bado kianzio 80k 😔
NI hatari sana mkuuHivi TCRA wanajua kinachoendelea au 😔
Umeongea vizuri mkuu, nchi ambayo wendawazimu wapo kila kona, waongo, watu hata permanent address hatuna, unategemea upewe mkopo wa 10% interest? Katika wakopaji 100, naamini 20 wana-default, mkopeshaji anaangalia risks zote hizo, lazima riba iwe juu.Sio kazi ya mtoa huduma ya mkopo kukokotoa utalipa kiasi gani mpaka umalize mkopo, elimu ni bure kabisa siku hizi ila mmeamua kuwashabikia akina Dotto Magari. Umeambiwa malipo kwa siku, ukaambiwa kianzio, ukaambiwa muda wa malipo ni miezi mingapi bado tu unataka umezewe na jumla ya malipo.
Pia kampuni ya Watu Credit sio ya Mtanzania bali mzungu ambaye sina hakika nadhani ni Mgiriki. Kwahiyo hakuna Mtanzania anamnyonya mwenzake hapo.
Mwisho, mtu badala ya kukopa nunua cash. Hakuna excuses hapo.
Ningekuwa nashauri labda ningeiomba serikali ifanye regulations na urasimishaji mkubwa kwa wanaokopesha na wanaokopa ili wote wawe wawajibikaji na gharama ya mkopo ipungue. Tanzania hii riba ni kubwa kwa kila mkopo sababu ya defaulters kuwa wengi, matapeli, wadanganyifu, wasio na address sahihi kwahiyo mkopeshaji anaweka riba kubwa kufidia hasara chache humo kwenye biashara. Ila kuna nchi ukikopa huna pa kwenda popote utafuatwa na isitoshe raia sio wendawazimu kama sisi wabongo. Taifa kukosa ustaarabu ni hasara kubwa.
Sawa bima zipo, lakini hazilipwi tu kitahisi mkuu, wewe mwenyewe unazijua process za kuwa compensated!!Majuzi kati kuna mfanya kazi wao alinipanga na kuniambia huwa wanabima kutoka kampuni ya finca na hivyo hata vifaa vyao vikipotea huwawanalipwa na hiyo kampuni
Hapo juu nimeandika exactly wanavyokata, Samsung A06, binafsi naona ni sawa tu, ongezeko la 110,000-150,000 kwa mtu ambaye kusimgekuwa na option hiyo asingeweza kumiliki smartphone, ni sawa tu!!Hawa jamaa hesabu zao zinaumiza chief..
Mwaka 2023 sumsung A04e Gb 64 walikuwa wanatoa kwa kianzio cha 90,000Tsh kisha unarejesha 12,000 kwa wiki ambayo nisawa na 1715 kwa siku..so 715×350=617400..
Sasa iyo 617000+90000=707000 simu ambayo cash inauzwa 250,000
Ndivyo ilivyo mkuu, imagine kati ya 1000 waliokopa 100 hawajarejesha, wamepoteza au zimeharibika!Mkuu unaiweka simple sana 😃