ha ha ha haaaaaa... Hii noma yana vibrate kama engen ya bedford vile... Yani yale hata ukiweka silence na ukaeka vibration usiku akakupigia mtu... Kwa vibration yake inavyo tikisa vitu apo mezani kama kwenye epicentre ya earthquake... Lazima uamke tu...!!! So mtu mwenye simu ya mchina hata akikwambia "ckuskia call yako coz simu ilikua kwenye vibration.. ยกยฑ jua muongo tu uyo.. Ile hata ukiiweka juu ya manyoya.. Ikivibrate utaiskia tu..!!!
mkuu simu za kichina hazina silence, kama huamini fanya uchunguzi utagundua, halafu wote wanaotetea simu za kichina humu ujue wanatumia, kibaya simu ya kichina huwezu kuificha
Ni ulimbukeni tu, na simu za mchna zilivojaa mwanjelwa sipati picha wasafwa wanavowasumbua wageni kwa michina yao.
Ina maana wewe bila kukashifu hujachangia? Comment yako sijaipenda hata kidogo. Jaribu kuwa mstaarabu katika lugha yako.
Hiyo inaitwa radio simu.ni simu isiyoendana na maisha ya mtanzania wa kisasa na katu huezi kuta mchina anatumia hizo simu angali ya kuwa ye ndo mtengenezaji bt sie waTZ ndo tunaongoza.
Usinikumbushe, nilikuwa kwenye daladala, jirani yangu simu yake ika-vibrate, jinsi nilivyotetemeshwa, usipime, yaani vibration yenyewe inasikika hata kwa aliyeko mbali.
Usinikumbushe, nilikuwa kwenye daladala, jirani yangu simu yake ika-vibrate, jinsi nilivyotetemeshwa, usipime, yaani vibration yenyewe inasikika hata kwa aliyeko mbali.