Simu yenye corning gorilla glass

Simu yenye corning gorilla glass

dendizzo

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2012
Posts
966
Reaction score
1,345
Habari wadau, naomba kufahamishwa corning gorilla glass ni nini hasa, na pia kama ipo kwenye simu kuna haja ya kuweka screen protector. Ahsante
 
Wakati cm unaitumia ukiwa sehemu yenyejua basi mwanga wake haupotei kama cm nyingine na vioo hivi vimatumika sana katika cm za nokia za kisasa na kioo hicho ni simple tachi yaani unagusa na siyo kuganda miza
 
Wakati cm unaitumia ukiwa sehemu yenyejua basi mwanga wake haupotei kama cm nyingine na vioo hivi vimatumika sana katika cm za nokia za kisasa na kioo hicho ni simple tachi yaani unagusa na siyo kuganda miza

Ok mkuu nimekuelewa, so mimi nimepata iphone 4s mpya na according to specifications ina hiyo glass. Ndo napenda kujua kama kuna ulazima wa kuweka screen protector au la.
 
Sreen protecor mhimu sana. Hata gorilla glass inapata scratches vilevile.
 
Mimi ninayo mottorola yenye gorila screen yaani full raha. Kioo hakikwaruziki hata kidogo pia simu hata uiangushe mara mia kioo hakipasuki. Unaenjoy mwanzo mwisho. No screen protector.
 
Gorilla glass ni aina moja ya glass ambazo ziko resistant kupasuka au kuchubuka kuna aina kadhaa nadhani sony wana yao. Hakuna ulazima wa screen protector.
 
Gorilla Glass haichubuki, hata uifanyaje, na ikianguka haipasuki ila ikiangukia kitu chenye ncha kali inapasuka. nshawah kuangusha yangu kweny jiwe liliochongoka ikapasuka.
 
Yeah huzi zote ni resistant to breakkng na scratching ila sio kwamba haipasuki kabisa. Kuptevent scratches usimix simu na funguo/chengi mfukoni, nana simu hajna gorilla wala nini lakini no scratches at all, always naiweka peke yake mfukoni.
 
Natumia iphone 4s kama yako,glass protector ni muhimu sana kwasababu kuna muda unajisahau unachanganya na funguo, hela( silva) n.k
Pia inategemea na kazi unazofanya kama unainteract na vumbi mara kwa mara kioo huwa kinapata vumbi then ukianza kutouch kinakwaluzika.
 
galaxy s3 ziko prone kwa screen kuweka crack!!!
 
i think nokia lumia has the best screen....kuanzia lumia 920 zina extra tech kwenye screen protection hata ukiiangusha 5ft screen hai crack.... na ii iko proved wali-test against other smartphones kama s3 ambazo zili-crack screen!!
 
Iphone was tested 3m high. I belive iphone to be more durable than any other.
 
Iphone was tested 3m high. I belive iphone to be more durable than any other.

kwenye durability nokia ndio king, iphone kwenye kulipuka inaongoza na screen kucrack

poll nyingi zimefanyika na robo ya simu za iphone zina screen crack kwa lugha nyengine katika kila simu nne za iphone moja imepasuka kioo. iphone sema wamiliki wake wengi mambo safi hazipati dhoruba sana ila zingekua zinamilikiwa na kila mtu ndo zingekua simu laini zaidi

Quarter of iPhones have a broken screen, says new poll | CNET UK
 
Natumia iphone 4s kama yako,glass protector ni muhimu sana kwasababu kuna muda unajisahau unachanganya na funguo, hela( silva) n.k
Pia inategemea na kazi unazofanya kama unainteract na vumbi mara kwa mara kioo huwa kinapata vumbi then ukianza kutouch kinakwaluzika.

Mkuu simu yangu hata uchanganye na ufunguo ama coins haichubuki yaani ni full raha.
 
Back
Top Bottom