Simu yangu inanikatalia kudownload baadhi ya Apps

Simu yangu inanikatalia kudownload baadhi ya Apps

Habari wakuu,
Naomba mnisaidie kutatua hili kama linatatulika. Nina simu yangu model ya zamani kidogo inagoma kupakua baadhi ya app naambiwa 'your device isn't compatible with this version'
Nawezaje kutatua hili tatizo?
Nimejaribu kufanya software update (katika kuhangaika kutafuta solution maana mimi si mtaalamu) nikaambiwa simu yangu iko modified siwezi kufanya hivyo.

Kwa kifupi simu yangu ilikuwa ipo locked (haisomi line yoyote) nilipeleka kwa fundi ikarekebishwa.
Msaada tafadhali
Ungetaja aina ya simu na model yake.
 
Wengi tuna matatizo, wakati mwingine huwa tunaogopa kuyaanika hapa kwa kuogopa kupata maneno kama haya!
Nahmala, by professional mimi ni mwana teknolojia naweza kukusaidia.

Huyu Khantwe nina sababu ya kumjibu hivyo
 
Simu yako ina Android Version ya chini kuliko minimum compatible Android Version ya App.

Kutatua tatizo lako nunua simu mpya na uzuri matoleo mengi ya simu za sasa unakuta ina Android Version kuanzia 6.0 na App nyingi zina-run humu bila shida.
 
Simu yako ina Android Version ya chini kuliko minimum compatible Android Version ya App.

Kutatua tatizo lako nunua simu mpya na uzuri matoleo mengi ya simu za sasa unakuta ina Android Version kuanzia 6.0 na app nyingi zina-run humu bila shida.
Shida inakuja baadhia ya watu huwa hawajui kutambua simu ina android ngapi? Kwa wale watumiaji wa android


Kibaya zaidi muuzaji nae anataka faida tu
 
Shida inakuja baadhia ya watu huwa hawajui kutambua simu ina android ngapi? Kwa wale watumiaji wa android


Kibaya zaidi muuzaji nae anataka faida tu
Ndiyo! Watu wengi huwa hawako deep, akishaona kioo kikubwa na camera yenye megapixels 40 anatoa tu hela na hafuatilii system nzima ya simu ipoje.

Wauzaji nao hawapo kushauri watu, wao wanajali tu kupokea pesa bila kujali mteja ana matumizi gani na simu husika.
 
Ndiyo! Watu wengi huwa hawako deep, akishaona kioo kikubwa na camera yenye megapixels 40 anatoa tu hela na hafuatilii system nzima ya simu ipoje.

Wauzaji nao hawapo kushauri watu, wao wanajali tu kupokea pesa bila kujali mteja ana matumizi gani na simu husika.
Shem wako ana samsung s8 edge ila hajui ni android ngapi wala RAM hajui ni ngapi?
.

Namwambia nimfundishe ila namuona hana muda wa kujua,
 
Simu yangu ni s galaxy s4
version ya mfumo wake ni ya zamani, nahisi ni 4 au 3

apps nyingi sasa ivi zina taka version kuanzia 6 kwenda juu

fundi mweledi ( wa mobile software ) anaweza pandisha version ( niliwai fanya hii na iyo iyo S4 ) kwenda 6,7 au hata 8
 
[QUOreallonedrake, post: 37039946, member: 191330"]
version ya mfumo wake ni ya zamani, nahisi ni 4 au 3

apps nyingi sasa ivi zina taka version kuanzia 6 kwenda juu

fundi mweledi ( wa mobile software ) anaweza pandisha version ( niliwai fanya hii na iyo iyo S4 ) kwenda 6,7 au hata 8
[/QUOTE]
Ooh really?? I wish ningepata huyo fundi
 
Back
Top Bottom