rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,501
- 41,932
Jana me simu ya beibee imenipigiaaa akati yeye namuona kabisa Yupo instagram muda huooo wala hajanipigiaa.. Ni tigo nadhani ndo wanazinguaaHio ishantokea, tumemaliza ongea na bebe saa 6 tukaagana. Asubuhi nashtuka nakuta missed calls zake kuwa alipiga saa 8 na saa 10 alfajiri! Nikamuuliza vipi, anadai hajagusa simu toka alipolala.
Sent using Jamii Forums mobile app