Simu yangu imepigwa kwa watu usiku, pasipo piga mimi, na nilikuwa nimelala! Huu uchawi au?

Musoma Yetu

JF-Expert Member
Mar 11, 2016
2,629
2,288
Wana jamvi,

Rafiki yangu kanipigia SAA kumi na nusu usiku, anadai eti amepata missing call yangu. Akajua Wenda nimepata tatizo.


Kiukweli sijapiga simu usiku. Namba ya simu yangu ni tigo!

Badae tena, mdogo wangu kanipigia eti amepata missing call yangu usiku! Nimeshindwa kuelewa!

Ni mtandao, au watu wasionekana usiku a.k.a wachawi?
 
Wana jamvi,

Rafiki yangu kanipigia SAA kumi na nusu usiku, anadai eti amepata missing call yangu. Akajua Wenda nimepata tatizo.


Kiukweli sijapiga simu usiku. Namba ya simu yangu ni tigo!

Badae tena, mdogo wangu kanipigia eti amepata missing call yangu usiku! Nimeshindwa kuelewa!

Ni mtandao, au watu wasionekana usiku a.k.a wachawi?
Bila shaka ni TECNO hiyo
 
Hii nimeiona twice. Mara ya kwanza jirani yangu (hana mke) alini-beep saa saba usiku nikiwa naiona simu, akasindikiza na message kuwa nimsaidie shillingi laki na sabini na tano mkewe kapata matatizo wako hospital. Nikacheka sana sababu kama saa tano hivi usiku mchizi nilikuwa nae na akanigawia movies akilalamika kuwa simu yake haina network tokea jioni.

So baada ya kupokea SMS na Missed call nakaona nisipige wala nini kwa kuwa ni karibu Nikaenda kwake chap ni hatua chache tu kutoka kwangu. Nikamgongea mlango akafungua alikuwa sebule nae anaangalia movies, nikamuonesha simu akashangaa sana. Tukashauriana kwa kuwa ni usiku sana na hatuwezi saidika nifanye Tethering kwa simu yangu apate WiFi aweke status WhatsApp kuwa yeyote asijibu either text wala SMS kutoka namba yake kwa kuwa inatumika na asiowajua.

Baada ya ile status kama dakika tatu kapokea screen captures mbili kutoka kwa watu wake wa karibu ikionesha SMS aliowatumia Exactly kama ile yangu. Wao hawaku-react sababu wanajua mchizi hajaoa wala hana steady relationship yeyote.

Kesho yake ndio kwenda Police kisa kwenye ofisi za mtandao husika akarejeshewa network baada ya kubadilishiwa Simcard.



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom