Musoma Yetu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2016
- 2,629
- 2,288
Wana jamvi,
Rafiki yangu kanipigia SAA kumi na nusu usiku, anadai eti amepata missing call yangu. Akajua Wenda nimepata tatizo.
Kiukweli sijapiga simu usiku. Namba ya simu yangu ni tigo!
Badae tena, mdogo wangu kanipigia eti amepata missing call yangu usiku! Nimeshindwa kuelewa!
Ni mtandao, au watu wasionekana usiku a.k.a wachawi?
Rafiki yangu kanipigia SAA kumi na nusu usiku, anadai eti amepata missing call yangu. Akajua Wenda nimepata tatizo.
Kiukweli sijapiga simu usiku. Namba ya simu yangu ni tigo!
Badae tena, mdogo wangu kanipigia eti amepata missing call yangu usiku! Nimeshindwa kuelewa!
Ni mtandao, au watu wasionekana usiku a.k.a wachawi?