Simu yangu haipokei SMS na pia mtu akinipigia inamwambia nipo busy japo sipo busy, msaada tafadhali

Iweke kwenye brenda then isage.ikishindikana ujue inamgomo baridi wa kutokujazwa vocha muda mrefu
 
hapo theory ya haraka haraka umebadili default application ya hivyo vitu, mfano ukibadili default application ya sms toka app ya messaging inayokuja na simu hadi app ya hangout, halafu baada ya muda hujaiupdate app ya hangout then hutapokea sms, sababu app husika ya kupokea sms ipo out of date, same inaweza kutokea kwa simu.

kwa kuanzia nenda kwenye app ya message halafu nenda menu ya message kisha chagua settings halafu change default setting ya msg iwe ni app ya kawaida ya messaging na sio app nyengine. same kwenye simu ni hivyo hivyo.

alternative nenda playstore search app inaitwa default app manager lite, kisha idownload halafu uifungue itakuonesha app gani zinatumika kwenye sms na call
 
 
ndugu fanya kitu kimoja click *#*#46376#*#* zitatokea option ukifika step hiyo njoo pm na screenshot
 
Hapa vipi mkuu na Mimi Nina tatizo Kama Hilo la simu kutopokea sms kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…