Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,134
- 664
Natumia Nokia N72,tatizo ni kwamba hii simu haikai na charge,ni siku moja tu inaisha,na betri na orijino kabisa. Matumizi yangu makubwa ni INTERNET,ambapo naperuzi mitandao ya kijamii kama facebook na JF,na mara chache nadownload nyimbo na pdf files mbalimbali.Nimewahi kujaribu hata kuacha kutumia internet lakini tatzo ni lilelile,mwenye kujua tatizo anisaidie,kama ni simu au la!