Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,608
- 93,371
Imeandikwa usimjaribu bwana Mungu wako.Mume wa mtu unawasiliana na class mates wa kikee ambao mliachana miaka kibao iliyopita... huyo kuna jambo analo.. Chukuaa sajili namba nyinge alafu save hiyo namba Class mate kama alivyosave yeye kwenye simu yake then mtxt kimahabaa uonee atajibu vip...