Polisi ni watu wabaya sana,wanao uwezo kutrack simu ndani ya dakika mbili unaipata ila kwa uhuni wao hawataki kukusaidia.
Kuna jamaa yangu aliibiwa simu akiwa Bunda,kaenda kutoa taarifa polisi wakawa wanamzungusha,akawasiliana na jamaa yake polisi aliyekuwa Geita akafuatilia na baadae akazituma taarifa za simu kwa kituo cha polisi bunda ,polisi walimkamata mwizi mapema sana na mbaya zaidi mwizi alikuwa mtu wa karibuni na mshikaji wangu,
Polisi hawawezi kabisa kufanya kazi kwa uadilifu hata kidogo