kamikaze JF-Expert Member Jan 25, 2011 422 610 Oct 23, 2019 #1 Samahani Wanajamvi, naomba kuuliza ni duka gani Dar linalouza simu Original za Nokia (Smartphone) ?
Mtukutu wa Nyaigela JF-Expert Member Sep 4, 2018 6,515 11,034 Oct 23, 2019 #2 Original bei nafuu tena? hivyo havichangamani ndugu yangu