Felixonfellix
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 1,672
- 182
Salamu wadau,
Jamani naomba kuuliza, kuna mtu yeyote anajua lolote kuhusu namba hizo?
Binafsi nimepigiwa mara kadhaa na sikupata ujasiri wa kuzipokea
Tafadhari tusaidiane.
Asante
Jamani naomba kuuliza, kuna mtu yeyote anajua lolote kuhusu namba hizo?
Binafsi nimepigiwa mara kadhaa na sikupata ujasiri wa kuzipokea
Tafadhari tusaidiane.
Asante