Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
kwani kwenda kanisani lazima?
Uyasemayo ni kweli kabisa! Waislam ustaarabu 100%
Vimini wao... hungover makanisani wao... simu na kuwasumbua wenzao wanaotaka utulivu makanisani wao... Ufisadi wao...!
Si ajabu Mungu hakawa hapatikani kanisani.
Nasikia umepata makengeza kwa kukodolea mapaja ya watoto wa kike kanisani.Yaani wewe Msilamu mzimaa unaenda Kanisani kuangalia vi mini. Huna haya we,
Vimini wao... hungover makanisani wao... simu na kuwasumbua wenzao wanaotaka utulivu makanisani wao... Ufisadi wao...!
Si ajabu Mungu hakawa hapatikani kanisani.
na jana tu church mdada wa pembeni yangu hakuzima cmu, 2nackiliza mahubiri, tunackia"nataka paja mie hakinitoshi kipapatio"....alitetemeka mana kanisa lilikuwa kimyaaaa, kila mtu aligeuka kuckiliza mlio unapotokea....nadhani sio ustaarabu, unaweza kuizima tu kwa muda huo mchache wa misa.
sio wastaarabu...wadau! Hili limekuwa tatizo kubwa, maana utakuta kila siku waumini wanaambiwa wasije na simu zao makanisani lakini ndy kwanza hawasikii... Simu nyengine milio ni mikubwa n mbaya zaidi utakuta ni nyimbo za kidunia...
Je! Watu hawa ni wastaarabu?
Biblia inasema twende mbele ya Mungu kwa kicho na heshima,sasa simu inapiga kelele sio ustaarabu, kama unaona una ishu muhimu, basi weka hata silent, utakuta missed kol, then utawatafuta wote waliokupigia. Kwanza unapigia watu makelele wanaotaka kusikiliza ibada.
Wadau! Hili limekuwa tatizo kubwa, maana utakuta kila siku waumini wanaambiwa wasije na simu zao makanisani lakini ndy kwanza hawasikii... Simu nyengine milio ni mikubwa n mbaya zaidi utakuta ni nyimbo za kidunia...
je! watu hawa ni wastaarabu?
Ah ah ah ah... nawe humo nyamayawenyewe...!wewe unapendaga viligi kweli.....
Ah ah ah ah... nawe humo nyamayawenyewe...!