Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,819
- 3,493
Wakuu napata wapi contact numbers zilizofutwa automatically na simu yenyewe au ndo zimeshapotea mazima?
Inategemea na aina ya Simu anayotumiakwenye trash ya contact umeangalia znakuepo baada ya siku 30
aah ila % nyingi ya simu znakuaga na huu mfumo labda awe ameutoaInategemea na aina ya Simu anayotumia
Infinix,Tecno hawana labda samsungaah ila % nyingi ya simu znakuaga na huu mfumo labda awe ameutoa
hapana infinix tecno ndo wanayo kabsa hata samsung ipo labda iphone mkuuInfinix,Tecno hawana labda samsung
asante kiongozi nimesaidika pakubwa kwa ushauri wako huu ubarikiwe aisee.kwenye trash ya contact umeangalia znakuepo baada ya siku 30
😂😂kabsa mkuu mtoto anajua umekaza kumtafuta kumbe mjuba hujui unaanzia waPiasante kiongozi nimesaidika pakubwa kwa ushauri wako huu ubarikiwe aisee.
maana hii cm ilivyo na roho mbaya ilitaka kuniachanisha na mtoto maridhawa fridah
Samsung ndo najua ipo maana ndo simu nazotumiahapana infinix tecno ndo wanayo kabsa hata samsung ipo labda iphone mkuu
Simu gani hii inafuta contacts zako automatically mwanetu?Wakuu napata wapi contact numbers zilizofutwa automatically na simu yenyewe au ndo zimeshapotea mazima?
aah sasa mm nmetumia tecno nkaja infinix samsung na iphone nmegusa gusa piaSamsung ndo najua ipo maana ndo simu nazotumia
zipo mkuu ila usiombee ikutokeeSimu gani hii inafuta contacts zako automatically mwanetu?
Awe anazisevu gugo