mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,642
mnhhhhhhhhhhhhhhh........................siku hizi ni wizi wiizi mtupu tu
Kwanini umtilie shaka ? mnatumia mtandao tofauti ? kwao hali ikoje ? una sababu yoyote ya kumshuku ? huwa ni usiku au mchana ?Hua unajisikiaje unapopigiwa simu na mpenzi wako wa kike zaidi ya dakika20 japokua hana kazi,wala shughuli yoyote ya kumwingizia kipato?hua unahisi nini? Au ndo uzungu wenyewe?
Hapa chanzo cha mavocha ndo kinanitia wasi.mana kaz hanaKwanini umtilie shaka ? mnatumia mtandao tofauti ? kwao hali ikoje ? una sababu yoyote ya kumshuku ? huwa ni usiku au mchana ?
Credit humuwekei? mi nashangaa sana utakut a mwanaume anajua kabisa demu wke hana kazi halafu anamuuliza mbona hujibu sms zangu au umekuta miss call mbona hujapiga wakati anajua fika mwenzake hana kazi, Hapa kama anakupenda yuko tayari kutumia mbinu yoyote ili muwasiliane, either kuomba kwa ndugu wazazi na hata kutumia za wale mabazazi ambao wanatoa hata kama hawapendwi
Ningekua najibu nisingeuliza kaka.
Terms and conditions apply.Kazi kwenu kina kaka!!!!Mtaombwa vocha mpaka mifuko ichakae alafu wanapigiwa wanaume wenzenu!!!!!:rain:
Fanya hivi akipiga wewe kata mpigie as simple as that.
kabla sijaoa niliachana na demu mmoja kwa kupuza simu zake au akiongea pumba kwa muda mrefu nakata simu nakumwambia niko ofisini tutaongea nikitoka basi akaona simpendi/sijari...kuajilia gani kuongea kwenye simu zaidi ya dakika 10 huu ni upuuzi na nikitendo ambacho binafsi nakichukia sana...mfano unaweza kwenda bengi unamkuta teller anaongea na simu na mpenzi wake zaidi ya dakika 10 inakera sana...Mkewa wangu akipiga simu anaongea siyo zaidi ya dakika 1 labda kama kuna tatizo au niko lunch..vinginevyo tukutane nyumbani jioniHua unajisikiaje unapopigiwa simu na mpenzi wako wa kike zaidi ya dakika20 japokua hana kazi,wala shughuli yoyote ya kumwingizia kipato?hua unahisi nini? Au ndo uzungu wenyewe?
Tatizo ni kupigiwa simu au kuongea kwa muda mrefu mfano dakika 20Fanya hivi akipiga wewe kata mpigie as simple as that.
<br />DA, hawa masharobaro wanatabu sana.<br />
Hata cm tu ni issue!
Tatizo ni kupigiwa simu au kuongea kwa muda mrefu mfano dakika 20
Credit humuwekei? mi nashangaa sana utakut a mwanaume anajua kabisa demu wke hana kazi halafu anamuuliza mbona hujibu sms zangu au umekuta miss call mbona hujapiga wakati anajua fika mwenzake hana kazi, Hapa kama anakupenda yuko tayari kutumia mbinu yoyote ili muwasiliane, either kuomba kwa ndugu wazazi na hata kutumia za wale mabazazi ambao wanatoa hata kama hawapendwi
umeelewa kwel nachouliza ??Piga wewe ujipangie muda wa kuongea taabu yeye akipiga muda unakuwa mrefu
unajua izo hua znatokea ila c kama navoelezea hapa.inamana mawazo ya wanajamv yataokoa ili jahazMbona mna dhana dhaifu ivyo? Ili kumridhsha umpendae demu anaweza kuhamisha salio kwa maza ili angalau awasiliane na yule ampendae. Na hii ya demu kupga cmu basi wanaume itabd wajisute kwa kuona hupgi ila unapigiwa tena na m2 asie na kazi.