charger
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 2,320
- 1,369
Naakija amependeza nahali we hujampa kitu unakuwa na maswali pia?au vocha tu.Sijui sana ila bwana si wakati wote tu anaweza kuwa ni mtu mbaya,mtu akipenda atafanya njia zote za halali apate njia ya mawasiliano,wakati mwingine atakua radhi atembee kwa miguu badala ya kupanda daladala apate hela ya vocha