wenzako hapo ofisini hawapati tatizo kama lako? umejaribu kubadili line?
simu zilizotengenezwa kwa alluminium kote (unibody) huwa uwezo wake wa kushika network ni mdogo. hizo papi za plastic za nyuma ndio pekee zinazopitisha network.
[/QUOT
du!nimeona hayo maelekezo uliyotoa nikavua kava la simu naona imekamata 3g baada,ya,sekunde chache..inawezekana cover,likazuia nini