nunua lg g2 mpya au second hand note 3 kwa bei hio. roughly zina same specs kama full hd screen, sd 800 processor, 4g lte, nk
lg g2 ina ram 2gb na note 3 ni 3gb.
kuna jamaa anauza lg g2 humu kwa laki 3 na nusu na kaymu zipo nyingi tu around laki 4. just make sure tu band za 4g zinafanana na mitandao yetu.