Simu ipi ni nzuri?

chukua Huawei G Play Mini - Dual SIM - 8GB HDD - 2GB RAM - 13MP Camera
 
nunua lg g2 mpya au second hand note 3 kwa bei hio. roughly zina same specs kama full hd screen, sd 800 processor, 4g lte, nk

lg g2 ina ram 2gb na note 3 ni 3gb.

kuna jamaa anauza lg g2 humu kwa laki 3 na nusu na kaymu zipo nyingi tu around laki 4. just make sure tu band za 4g zinafanana na mitandao yetu.
 
Sante mkuu
 
Chief Mkwawa unaeza kunifafanulia kuhusu hizo band za 4g
 
Chief Mkwawa unaeza kunifafanulia kuhusu hizo band za 4g

tigo- 800mhz
Ttcl- 1800mhz
smart- 2300mhz

ukiipata hio lg g2 nenda setting then about angalia aina yake zipo d800, d801, d802 nk

ukishajua hio aina nenda gsmarena halafu angalia specification za lg g2 utaona wameeka band za kila aina.

then angalia band kama zinafanana na mitandao yetu
 
Ok nimekuelewa kaka asante kwa ufafanuzi wako
 
Habar chief,samahan kwa kutoka nje ya mada Ila nlkua naomba kujua app ambayo itaniwezesha kuhifadhi miziki yangu mtandaoni ili ht km nknunua simu yenyewe iwe rahisi kuiback-up
 
Kwanza ni muhimu wewe kuamua/kujua unataka kutumia nini na nini zaidi katika simu unayotaka kununua.
 
kaka njoo nikupe s4 kwa 350 original 32 gb internal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…