Tanzania Tech
JF-Expert Member
- Dec 8, 2016
- 355
- 276
Toa maoni yako kwa kuchagu tafadhali. Hii itawasaidia wengine baadaeAnza na Huawei,Tecno then Itel..
So tofauti za processor what else is best kwenye simu hizo and please cast your vote.TECNO.....MTK
HUAWEI.....QUALCOMM
ITEL....SPD
watu wa software wamenielewa vizuri, ni chip gani iko strong zaidi ya hiyo wanayoitumia Tecno
Kwanini Huawei ni bora kaka.. Kama hutojali.Huawei is the Best
Techno good for Camera
Itel ......Just a smatphone
Oky Good Answer. Thanks BroHuawei ni bora kuliko tecno na itel ni brand ya tecno yenye ubora dhaifu kwa ajili ya watu wanaoingia kny simu janja.
Kwanini kaka, Kwanini Huawei ni bora..? pia tafadhali toa kura yako hapo juu.Katika hiyo list bora Huawei
First nimeshatumia huawei na techno piaKwanini Huawei ni bora kaka.. Kama hutojali.
hapo nitachagua huawei, ndio yenye afadhali, kwanini? kwa sababu ni hii hapa...nashinda na hayo madubwana karibia masaa16 kwa sikuSo tofauti za processor what else is best kwenye simu hizo and please cast your vote.
Well Said! Thanks please vote too.First nimeshatumia huawei na techno pia
Huawei inadumu zaidi ya techno
Interms of price : Techno yaweza kuwa na specification kubwa sana compare to huawei lakini bei yake ikawa ya chini ukilinganisha na huawei with the same specifacation
But life span ya techno is at ur own risk
Itel weka pembeni kwanza
OK Sawa kaka.hapo nitachagua huawei, ndio yenye afadhali, kwanini? kwa sababu ni hii hapa...nashinda na hayo madubwana karibia masaa16 kwa siku
OK, But inakuaje kama ndio umeambiwa uchague kati ya simu hizo.Situmii hata moja
Binafsi siwezi kuchagua sijawahi kuzitumia ila kwakusikia maneno ya watu wanasema bora TeknoOK, But inakuaje kama ndio umeambiwa uchague kati ya simu hizo.