Exformer
JF-Expert Member
- Nov 12, 2018
- 837
- 946
Guyz habari zenu, naombeni Msaada kidogo hapa
Simu yangu nimeipoteza kwa bahati mbaya tu nina siku ya 6 leo, nikipiga inaita mpaka leo hii. Nikituma sms zinafika, ila najibiwa kuwa sitarudishiwa simu. Najiuliza ni nani huyu.
(simu yangu ilipotea kipindi nipo chuoni, muda wa kujiandaa na mtihani, i think niliweka mahala sio sahihi)
Inaniumiza maana ina kila kitu kwa kujiandaa na mtihani wangu wa mwisho mwezi ujao(UE).
Imei ninayo
EMAIL ipo
Nisaidie namba ambayo nitajua ipo sehemu gani(location)
Hata kumjua huyo alie nayo simu yangu.
Ahsanteni.
Simu yangu nimeipoteza kwa bahati mbaya tu nina siku ya 6 leo, nikipiga inaita mpaka leo hii. Nikituma sms zinafika, ila najibiwa kuwa sitarudishiwa simu. Najiuliza ni nani huyu.
(simu yangu ilipotea kipindi nipo chuoni, muda wa kujiandaa na mtihani, i think niliweka mahala sio sahihi)
Inaniumiza maana ina kila kitu kwa kujiandaa na mtihani wangu wa mwisho mwezi ujao(UE).
Imei ninayo
EMAIL ipo
Nisaidie namba ambayo nitajua ipo sehemu gani(location)
Hata kumjua huyo alie nayo simu yangu.
Ahsanteni.