Alexido jz instagram
JF-Expert Member
- May 5, 2026
- 2,071
- 5,024
japata NAMBA ya Moja ya mtu alie kwenye simuJamaa anasaka ku.-trend tu, hana lolote huyu.
Inatokeaga sana,wannanza na wewe ulisaidie plcHii inaonyesha tumefika mahali hata uone mwenzako amepoteza kitu huwezi kumsaidia kwa kuogopa kuingizwa kwenye eneo lisilo lako. Kweli vyombo vyetu haviwezi kutenganisha mtu aliyetoa msaada na aliyefanya hicho kitendo?
Kweli siku za mwisho upendo utapungua.
Sio wasabato?Wanaonekana ni walokole hao
hiyo picha ni wallpaper simu ina lockUnaweza kupongezwa mleta mada ila kwa kiasi fulani si sawa .
Kama umeweza kuifikia hii picha sidhani ingeshindikana kufikia moya wapo wa wasiliani wake.
Pia anaweza kupigiwa ama yeye mwenyewe kuipiga , ingekuwa rahisi na salama kuliko hii.
Hata hivyo hongera sana
Peleka facebook hutochukua hata dakika tano kumpata mwenyewKwa yeyote anaye mfahamu kwenye hiyo picha tuwasiliane mana kuna simu imeokotwa ina picha hiyo
View attachment 3644458
Natania tu mkuu.hapana mkuu
Hatari sana, tahadhari ni nzuriInatokeaga sana,wannanza na wewe ulisaidie plc
Ova
Nyani nyingne hi hapaJF ina watu poa sana. Mtandao wa waliostarabika. Walio mbali na wasiostaarabika kama maccm mauaji na matekaji, watesi wa Taifa
Umemkabidhi kwenye vyombo vya sheria kuwa akamatwe kwa nini kapoteza simu au? Mimi mgumu sana kuelewa hebu nielewesheHABARI WAKUU,NAPENDA KUCHUKUA NAFASI HII KUWASHURU KWA SUPPORT YENU ILA NAWAJULISHA YA KWAMBA MWENYE SIMU AMEPATIKANA NA TUMEMKABIDHI KWENYE VYOMBO VYA SHERIA KITUO CHA PANGANI ILALA.
Unastahili pongezi nyingi mkuu👏👏👏HABARI WAKUU,NAPENDA KUCHUKUA NAFASI HII KUWASHURU KWA SUPPORT YENU ILA NAWAJULISHA YA KWAMBA MWENYE SIMU AMEPATIKANA NA TUMEMKABIDHI KWENYE VYOMBO VYA SHERIA KITUO CHA PANGANI ILALA.