Simu imeokotwa

ushauri mzuri mkuu ila wachache wenye moyo kawa wake mwingne angeokota na kutoa rain
 
na.kwenye hili kwa.hakika sihitaji chochote
 
jana tulikuwepo eneo ilipokotwa simu lakini haikuzaa matunda mkuu
 
Jaribu kutoa line na kuweka simu nyingine kisha piga namba zilizoseviwa kwa kiashiria cha undugu au mahusiano mengine.

Kama hajatii sheria ya tcra ya lazima kuweka pin kwenye line utatoboa
 
Picha linaanza atasema alikuwa na briefcase iliyokuwa na Hela milioni kadhaa walimkaba alafu mwamba mara paaaaap anakucheki sura anaifanisha na wale vibaka waliomkaba oyaaaaaah weeeee mapolisi yatkupiga marungu ya kwenye nyayo za miguu ikose ushirikiano na ubongo niulizre Mimi kilinitokea pale central mbeya mjini karibu na hospital ya rufaa😀😀😀
 
Unaweza kupongezwa mleta mada ila kwa kiasi fulani si sawa .

Kama umeweza kuifikia hii picha sidhani ingeshindikana kufikia moya wapo wa wasiliani wake.

Pia anaweza kupigiwa ama yeye mwenyewe kuipiga , ingekuwa rahisi na salama kuliko hii.

Hata hivyo hongera sana
 
Ajabu mpaka saa hivi mmiliki hajapiga simu au kupigiwa simu sio kawaida.

Usiongee mambo nyeti karibu na hiyo simu weza kuta inarikodi

Kama ni kweli umeiokota na hakuna progress ipeleke polisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…