shaks001
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 1,246
- 1,071
Amani kwenu ndugu zangu!
Nina simu yangu Samsung Galax y(young),GT S5360 imejilock baada ya kukosea ku draw pattern mara kadhaa.
Kwa sasa inanitaka niingize e-mail yangu na password,lkn kila nikiingiza inakataa.Inakuwa kama ina skip hivi upande wa password.
Nini cha kufanya?Tafadhali.
Nina simu yangu Samsung Galax y(young),GT S5360 imejilock baada ya kukosea ku draw pattern mara kadhaa.
Kwa sasa inanitaka niingize e-mail yangu na password,lkn kila nikiingiza inakataa.Inakuwa kama ina skip hivi upande wa password.
Nini cha kufanya?Tafadhali.