Ngahekapahi
JF-Expert Member
- May 8, 2012
- 553
- 366
Itategemea unatumia simu ya aina gani. Smartphones nyingi flagship zina fingerprint etcNielekeze hiyo biometrics nini
Itategemea unatumia simu ya aina gani. Smartphones nyingi flagship zina fingerprint etcNielekeze hiyo biometrics nini
Ndo hivoUmeweka hivyo au?
Simu ni private property haina ubia kwenye mahusiaono yeyote ya kimapenzi. Hata ya ki ndoa. So kila mtu abaki na yake. Its a pure ptivate propery ku snoop simu ya mpenzi wako ni trespassing