EarphonesHabari wakuu....simu yangu mbona kila nikichomeka airphone inaongea kotekote yaani kwenye simu inaongea na airphone inaongea na haisomi kwamba nimechomeka airphone shida ni nini hapo.
Natumia TECNO POP 2 PLUS (BA2).
Badili earphones tatizo litaisha...Habari wakuu....simu yangu mbona kila nikichomeka airphone inaongea kotekote yaani kwenye simu inaongea na airphone inaongea na haisomi kwamba nimechomeka airphone shida ni nini hapo.
Natumia TECNO POP 2 PLUS (BA2).