Simu Feki za Samsung galaxy zinazouzwa Kariakoo

CCIE

Member
Jul 29, 2015
23
18
Habari zenu wanajukwaa hii, Leo nimekuja kutoa ushuhuda wa simu feki hasa kutoka kampuni ya samsung na nyingi hupatikana maeneo ya Kariakoo. Watu wengi wamekuwa wakijinadi wanauza simu za samsung kwa bei nafuu, original na with full accessories.

Ukweli ni kwamba simu hizo sio ORIGINAL (genuine international/US version), Simu hizo ni KOREAN version ambazo hutengenezwa na cheaper materials compared to the geniune phones.. Mfano utakuta unauziwa Galaxy Note II ambayo kwenye box ina model ya GT-N7100 (international version) wakati machine ni KOREAN version (SHV-E250s OR SHV-E250L send IMEI kwenda 15090 kuverify).

Watanzania wenzangu ukitaka original samsung devices nenda kwa dealers wa samsung ambao hutoa e-warranty ya miaka miwili, epukana na korean version huku ukiamini ni geniune galaxy phone.

Asanteni
 
korean version pia ni original, hizo simu za bei rahisi ni za mitandao ya simu ya nje kama sk telecom, t-mobile, sprint nk

wanazipata kwa bei rahisi sababu zinakuwa zimelokiwa kutumia mtandao mmoja lakini wao huzi unlock kwa bei ndogo na kuja kuziuza huku.

cha muhimu ni kuhakikisha sio clone, tumia cpu-z angalia specs za ndani kama ni za original au ni za clone
 
korean version pia ni original, hizo simu za bei rahisi ni za mitandao ya simu ya nje kama sk telecom, t-mobile, sprint nk

wanazipata kwa bei rahisi sababu zinakuwa zimelokiwa kutumia mtandao mmoja lakini wao huzi unlock kwa bei ndogo na kuja kuziuza huku.

cha muhimu ni kuhakikisha sio clone, tumia cpu-z angalia specs za ndani kama ni za original au ni za clone
Nina galaxy ilonunuliwa kutoka Korea na natarajia zingine.

Naomba uelezee vizuri jinsi ya kutumia hiyo cpu-z

Pili, je kama nimetuma tcra kucheck model na ikaja sahihi bado inaweza kuwa clone?
 
Nina galaxy ilonunuliwa kutoka Korea na natarajia zingine.

Naomba uelezee vizuri jinsi ya kutumia hiyo cpu-z

Pili, je kama nimetuma tcra kucheck model na ikaja sahihi bado inaweza kuwa clone?
njia ya tcra ni sahihi ila sio asilimia 100 kuna uwezekano ikakosea ila ni mdogo sana.

kwa cpu z idownload halafu ifungue itakuonesha specs za simu, cha muhimu zaidi angalia upande wa soc, simu za samsung zinatumia snapdragon au exynos soc na clone zinatumia mediatek.

kuhakikisha zaidi linganisha specs za simu yako unazoziona hapo kwenye cpu z na specs za simu yako zikiwa online kwenye website kama gsmarena zikifanana ni original
 
Asante kwa maelezo mazuri chief- mkwawa. Naamini wewe ni mzoefu mkubwa kuliko mimi kwenye uwanja wa smart phones ila kutokana na kauzoefu kadogo nlikokapata kwenye matumizi ya korean(zinazoletwa tanzania) vs international version. Korean zina matatizo mengi hasa ya battery life, heating up (hata kama sio heavy user 2G only,kill unused apps,minimum screen brightness n.k). Hiyo ni personal experience mkuu ila kwako inaweza kuwa tofauti. Na kwa upande wa specs zipo okay ukicompare gsm arena vs info kutoka cpu-z na atuntu. Asante
 
Habari zenu wanajukwaa hii, Leo nimekuja kutoa ushuhuda wa simu feki hasa kutoka kampuni ya samsung na nyingi hupatikana maeneo ya kariakoo. Watu wengi wamekuwa wakijinadi wanauza simu za samsung kwa bei nafuu, original na with full accessories. Ukweli ni kwamba simu hizo sio ORIGINAL (genuine international/US version), Simu hizo ni KOREAN version ambazo hutengenezwa na cheaper materials compared to the geniune phones.. Mfano utakuta unauziwa Galaxy Note II ambayo kwenye box ina model ya GT-N7100 (international version) wakati machine ni KOREAN version (SHV-E250s OR SHV-E250L send IMEI kwenda 15090 kuverify). Watanzania wenzangu ukitaka original samsung devices nenda kwa dealers wa samsung ambao hutoa e-warranty ya miaka miwili, epukana na korean version huku ukiamini ni geniune galaxy phone, asanteni
Sio fake mkuu

Sema nyingi ni refurbished ndio mana unashangaa umeuziwa simu unakuta imei labda imebadlishwa, au tayar unakuta simu iko rooted, Au nje imendikwa lg g2 d802 kumbe ndan ni D801.
 
Mimi bado nachanganyikiwa kabsa, nimefanya uchunguzi katika simu 4 za samsung ambazo IMEI zake hazitambuliki kote TCRA, imei.info na ata kwa manufacturer mwenyewe, CPU-Z inazisoma vizuri na kuleta majibu kuwa ni samsung, material ya simu kwa uzoefu wangu ni genuine, lakini izi IMEI kutosomeka ina maanisha nini?
 
Mimi bado nachanganyikiwa kabsa, nimefanya uchunguzi katika simu 4 za samsung ambazo IMEI zake hazitambuliki kote TCRA, imei.info na ata kwa manufacturer mwenyewe, CPU-Z inazisoma vizuri na kuleta majibu kuwa ni samsung, material ya simu kwa uzoefu wangu ni genuine, lakini izi IMEI kutosomeka ina maanisha nini?
Hizo simu zimenunuliwa kwa dealers? ?? Kama sio basi ni refurbished izo
 
Mimi bado nachanganyikiwa kabsa, nimefanya uchunguzi katika simu 4 za samsung ambazo IMEI zake hazitambuliki kote TCRA, imei.info na ata kwa manufacturer mwenyewe, CPU-Z inazisoma vizuri na kuleta majibu kuwa ni samsung, material ya simu kwa uzoefu wangu ni genuine, lakini izi IMEI kutosomeka ina maanisha nini?
inamaanishwa zimebadilishwa, umecompare imei ya simu unayoipata ndani ya simu kwa kubonyeza *06# na imei ya simu ambayo ipo nyuma kwenye battery zipo sawa? kama hazipo sawa inabidi ufanye mpango urudishiwe imei yako ili usisumbuane na TCRA.
 
Asante kwa maelezo mazuri chief- mkwawa. Naamini wewe ni mzoefu mkubwa kuliko mimi kwenye uwanja wa smart phones ila kutokana na kauzoefu kadogo nlikokapata kwenye matumizi ya korean(zinazoletwa tanzania) vs international version. Korean zina matatizo mengi hasa ya battery life, heating up (hata kama sio heavy user 2G only,kill unused apps,minimum screen brightness n.k). Hiyo ni personal experience mkuu ila kwako inaweza kuwa tofauti. Na kwa upande wa specs zipo okay ukicompare gsm arena vs info kutoka cpu-z na atuntu. Asante

zipo pia za korea ambazo hazi heat sababu nimeshawahi kununua s4 ya korea ile yenye core 8 nilitaka nione ipo vipi, ilikuwa nzuri tu bila tatizo lolote.

kama alivyosema kcamp kwamba hizi simu nyingi ni refurbished, maana yake ni kwamba wakorea walivyonunua simu si zote zilikuwa nzima zipo ambazo zilikuwa na matatizo hivyo wakorea wakazirudisha kwenye kampuni husika, then kampuni ikazitengeneza na kuziuza kama refurbished. katika huu utengenezaji sasa ndio unakuta simu haijatengenezwa vizuri au heat pipe zina matatizo nk ndio maana simu yako inapata moto sana.

pia uangalie na aina ya soc ya simu yako kuna soc kama snapdragon 810 hizi zinajulikana kabisa zina overheat iwe ni simu ya korea au ya uingereza ina over heat.

kama ni soc ndio inasababisha simu ipate moto jaribu kui underclock huenda ikasaidia ila speed itashuka
 
njia ya tcra ni sahihi ila sio asilimia 100 kuna uwezekano ikakosea ila ni mdogo sana.

kwa cpu z idownload halafu ifungue itakuonesha specs za simu, cha muhimu zaidi angalia upande wa soc, simu za samsung zinatumia snapdragon au exynos soc na clone zinatumia mediatek.

kuhakikisha zaidi linganisha specs za simu yako unazoziona hapo kwenye cpu z na specs za simu yako zikiwa online kwenye website kama gsmarena zikifanana ni original
Mkuu njia hii ya kuhakiki sidhani kama muuzaji anaruhusu kuweka apps kwenye simu ambayo haijanunuliwa bado au kuna namna ya kutumia hiyo cpu-z bila kuinstall kwenye simu unayoihakiki?
 
Mkuu njia hii ya kuhakiki sidhani kama muuzaji anaruhusu kuweka apps kwenye simu ambayo haijanunuliwa bado au kuna namna ya kutumia hiyo cpu-z bila kuinstall kwenye simu unayoihakiki?
yap hataruhusu ila sidhani pia kama kuna mtu ananunua simu mpya bila warranty. tumia akili yako kuikagua kama ni original au feki kwa kuangalia dalili za nje kama build quality, display ya simu nk ukiridhika nunua chukua na warranty, baadae eka cpu-z kama ni fake unamrudishia.
 
  • Thanks
Reactions: AMB
yap hataruhusu ila sidhani pia kama kuna mtu ananunua simu mpya bila warranty. tumia akili yako kuikagua kama ni original au feki kwa kuangalia dalili za nje kama build quality, display ya simu nk ukiridhika nunua chukua na warranty, baadae eka cpu-z kama ni fake unamrudishia.
Chief ule uhakiki wa kubonyeza nyota na mahash tag vipi? naskiaga kuna picha ya mbwa, nk hiyo haifanyi kazi sku iz?
 
Back
Top Bottom