Kibishi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 1,139
- 1,040
Labda jaribu Dar, hasa Kariakoo. Mimi sijaipatia hapa Tz.Hiyo sim nimeikubali. inapatikana wapi kama nahitaji kununua?
Labda jaribu Dar, hasa Kariakoo. Mimi sijaipatia hapa Tz.Hiyo sim nimeikubali. inapatikana wapi kama nahitaji kununua?
Ukizunguka sana Kariakoo huwezi ikosa. Mimi niliinunua Kenya, Kenya zinapatikana. Ni 450k hadi 550k.***
ipo kwenye gsmarena!.
Ni world most no 1. kwa kukaa na charge.
•zipo kariakoo?,na wanauzaje?
Actually Xiaomi - Model MI 3W is the best. Ila upatikanaji wake hapa TZ ni shida. Betri ikifa hupati replacement na za kuungaunga hazikai na chajiAnamaanisha Xiaomi
Tecno W5, komesha.
Lenovo si ni laptop hizoAskwambie mtu!, inakaa na chaji mpaka unasahau kama hii ni android. Sema nzito kishenzi. Uroho wangu wote wa kutumia simu kwa fujo hapa umeisha. Inakaa na chaji kuanzia wiki na kuendelea. Jipimie mwenyewe hapo.
5.5-inches
RAM 2GB
Betri 10,000mAh
Network 4G
Nina mpango wa kutumia android rugged phones, hizo kwa kukaa na chaji Oukitel K10000 cha mdoli, zina zaidi ya 10000mAh, mixer 15000mAh.
Inaitwa "Xiaomi".xaom
Zipo simu nyingi za lenovoLenovo si ni laptop hizo
https://www.fastcardtech.com/search.html?keywords=lenovo