Simu bora unayoiamini ni aina gani?

Simu bora unayoiamini ni aina gani?

***
ipo kwenye gsmarena!.
Ni world most no 1. kwa kukaa na charge.
•zipo kariakoo?,na wanauzaje?
Ukizunguka sana Kariakoo huwezi ikosa. Mimi niliinunua Kenya, Kenya zinapatikana. Ni 450k hadi 550k.
 
Askwambie mtu!, inakaa na chaji mpaka unasahau kama hii ni android. Sema nzito kishenzi. Uroho wangu wote wa kutumia simu kwa fujo hapa umeisha. Inakaa na chaji kuanzia wiki na kuendelea. Jipimie mwenyewe hapo.
5.5-inches
RAM 2GB
Betri 10,000mAh
Network 4G
Nina mpango wa kutumia android rugged phones, hizo kwa kukaa na chaji Oukitel K10000 cha mdoli, zina zaidi ya 10000mAh, mixer 15000mAh.
Lenovo si ni laptop hizo
 
Lenovo si ni laptop hizo
Zipo simu nyingi za lenovo
LenovoTab3TB3730M_57b6bb566607a7.jpg
chanzo
Code:
https://www.fastcardtech.com/search.html?keywords=lenovo
 
Ninayotumia naiamini kuliko hata mi iphone yenu. Kwann? Maana niliinunua mwenyewe na risti nikapewaa
 
Back
Top Bottom