Simu bora unayoiamini ni aina gani?

Simu bora unayoiamini ni aina gani?

Askwambie mtu!, inakaa na chaji mpaka unasahau kama hii ni android. Sema nzito kishenzi. Uroho wangu wote wa kutumia simu kwa fujo hapa umeisha. Inakaa na chaji kuanzia wiki na kuendelea. Jipimie mwenyewe hapo.
5.5-inches
RAM 2GB
Betri 10,000mAh
Network 4G
Nina mpango wa kutumia android rugged phones, hizo kwa kukaa na chaji Oukitel K10000 cha mdoli, zina zaidi ya 10000mAh, mixer 15000mAh.
Mkuu simu hizi zipo Bongo? bei yake kibongobongo ikoje?

imenivutia sana
 
Ebwana asikwambie MTU kwenye Nokia 3310,hili gunzi ni hatari
 
Mi sikufichi mzee, ugonjwa wangu ni betri liwe linakaa sana na chaji.
Kwa hiyo simu ninayoiamini sana na nimeitumia sana ni Oukitel K10000.
Hiyo sim nimeikubali. inapatikana wapi kama nahitaji kununua?
 
Ni karibu miezi miwili iliyopita tangu kampuni inayoaminika sana ya Samsung kutangaza kuondoa toleo moja sokoni la Galax note 7,

Kampuni hiyo Ndiyo kampuni niliyoiamini zaidi, lakini kabla ya kuondolewa kwa simu hiyo ilileta madhara makubwa duniani, kwa kujeruhi watu, licha ya matangazo ya kuiondoa yaliyoathiri watu kisaikolojia na kuleta lapsha, Sina imani nayo kwa sasa!

Je ni smartphone ya kampuni gani unayoitumia wewe, ambayo umetokea kuiamini na kuiona inafaa sana?

c37ad5dbe273f1d3d0b5933952837360.jpg


729f79d347f6fcc146eee48c9e3031fc.jpg
tecnom3
 
Askwambie mtu!, inakaa na chaji mpaka unasahau kama hii ni android. Sema nzito kishenzi. Uroho wangu wote wa kutumia simu kwa fujo hapa umeisha. Inakaa na chaji kuanzia wiki na kuendelea. Jipimie mwenyewe hapo.
5.5-inches
RAM 2GB
Betri 10,000mAh
Network 4G
Nina mpango wa kutumia android rugged phones, hizo kwa kukaa na chaji Oukitel K10000 cha mdoli, zina zaidi ya 10000mAh, mixer 15000mAh.
***
ipo kwenye gsmarena!.
Ni world most no 1. kwa kukaa na charge.
•zipo kariakoo?,na wanauzaje?
 
***
ipo kwenye gsmarena!.
Ni world most no 1. kwa kukaa na charge.
•zipo kariakoo?,na wanauzaje?
Ipo gsmarena

Code:
http://www.gsmarena.com/oukitel_k10000_has_worlds_largest_battery_now_up_for_preorder_for_19999-news-15429.php
Nina mashaka kama inapatikana kariakoo, sababu kwa kariakoo wafanya biashara wengi wanaangalia ni brand ipi itauza kwa haraka zaidi
 
Microsoft Lumia 640XL LTE best


Sent from mTalk
 
Back
Top Bottom