kama unanunua kati ya lita 500 hadi 3000, chukua lolote; Ila kama unachukua kubwa kuanzia lita 5000 HADI 10,000 hivi ndio unatakiwa uwe mwangalifu.
Muhimu pia;
Ili Tank la maji lidumu, linatakiwa likae kwenye kivuli au kama hakuna kivuli lisikae bila maji muda mwingi