Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,580
- 4,259
Kwa anayejua Fundi wa kuziba Simtank. Ni tank kubwa la lita 10,000 na limepasuka upande wa chini ubavuni. Kutokea chini kabisa kuja juu kama sm 45 hivi.
Najua sehemu ya chini huwa kuna mgandamizo (pressure) kubwa wa maji hivyo yahitaji fundi anayeelewa vizuri
Tank lipo Morogoro mjini
Najua sehemu ya chini huwa kuna mgandamizo (pressure) kubwa wa maji hivyo yahitaji fundi anayeelewa vizuri
Tank lipo Morogoro mjini