Simtaki ila namtaka

Simtaki ila namtaka

Achana na pasua kichwa huyo.
Tulia, someone is waiting for you somewhere.
 
Asante mdau.ni maamuz mazuri ila magumu sana.navumilia sana.kinachonikera nikishamsahau na kumtoa akilin ndo anarudi tena kuwasiliana na mm inakuwa kama ananitonesha vidonda.sijui katumwa

Wewe hujaamua ndyo maana unateseka. Wewe unasema unaishi mtaa mmoja? What is mtaa mmoja? Mimi nilikuwa nw mtu wa namna yako siyo kuishi mtaa mmoja bali darasa moja mbaya zaidi alikuwa ana kaa nyuma yangu, do you get a picture? If u decide to move on una move tuu ,tatizo jingine umempa nafasi kubwa sna sana. Acha ugumu wa kutoa maamuzi.
 
Hahahaaaa! Tena napenda kama mwehu.


I only loved once, and thats it, sidhani kama itatokea tena aisee. Now ni ile ya kishkaji tu, teh teh asiione mtufudenge!!

Mahaba niueee....

Ila hata mimi nimeshaexperience kupendana kishkaji ni bora mnoo team no stress
 
Katika swala la kutopokea simu zake ndo nashindwa..najikuta napokea tena kwa hasira namshushua alaf badae zinayeyeuka..si unajua mapenzi..bt wat I knw z deep down in ma heart wana delete this dude in ma life...shida ni vile namuonaga sana tupo sehem moja mtaani..

Npm namba yako kwa ushauri nasibu kama si nasihi
 
Hahahaaaa! Tena napenda kama mwehu.



I only loved once, and thats it, sidhani kama itatokea tena aisee. Now ni ile ya kishkaji tu, teh teh asiione mtufudenge!!

Haujawahi kuumizwa??
 
Let me guess, umri wako ni kati ya miaka 20 hadi 23. Utoto raha sana
 
Mahaba niueee....

Ila hata mimi nimeshaexperience kupendana kishkaji ni bora mnoo team no stress

Exactly, hii ya mahaba nipofushe nitumbukie shimoni aiseee, hapana kwakweli.
 
Exactly, hii ya mahaba nipofushe nitumbukie shimoni aiseee, hapana kwakweli.

Watu wakiacha kutumia hisia kupenda wataacha kuumizwa umizwa kizembe kama huku...
 
Watu wakiacha kutumia hisia kupenda wataacha kuumizwa umizwa kizembe kama huku...

Sema moyo ni mkaidi, jinsi ya kuufunza usipende ndio shughuli ndio maana watu hujikuta hayo yakitokea.
 
Back
Top Bottom