Simplicity.
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,636
- 1,664
Wakuu.
Nimeona maadili ya watu yanazidi kuporomoka kwa kasi sana hasa humu MMU. Mbaya zaidi, haya maadili mabaya ambayo yanaibuka kwenye mitandao kama Jamii forums yanasambaa kwa kasi ya ajabu mpaka mitaani.
Unaweza kuta umepanda mbegu ya maadili mabovu humu halafu ikamea na kukomaa mpaka kiasi cha kwenda kuwaathiri watoto wako, ndugu, jamaa na marafiki.
Mie mwenyewe ni kama mwathirika wa hizi tabia kutokana na kuambukizwa na MMU members, ila nimeweza kujitambua na kujisimamia na sasa nimerudi kwenye mstari.
Nilikuja mtu safi kabisa humu, lakini baada ya kukutana na magarasha ya mathreads na wengine, nilijikuta tabia yangu inayumba.
Ili kujaribu kufisha hii tabia chafu iliyoonea humu sihitaji kutoa maelezo mengi, angalia comments na threads za watu, naomba uongozi wa MMU au Jamii forums uanzishe MMU Award.
Ambayo itakuwa inatolewa kila mwisho wa mwaka kwa mwanammu mwenye maadili mema. Hii itasaidia sana "kudemotivate" tabia chafu na hulka mbaya za kuzimuni zinazoendelea humu, hasa MMU.
Kama Jamii forms hawawezi kuanzisha hii award, basi wanipe nafasi ya kuongea nao ili mie nianzishe Simplicity. MMU Award. Nitaitoa kila mwisho wa mwaka, tarehe 31 Desemba na kumkabidhi mwana MMU mwenye maadili bora kabisa,
Award hiyo itakuwa sio chini ya mil 2 za Kitanzania. Mshindi atapatikana kwa njia ya kura na kuidhinishwa na bodi maalumu itakayoundwa.
Nawasilisha na kusubiri mawazo yenu.
gfsonwin, AshaDii na MwanajamiiOne wako wapi siku hizi.
Nimeona maadili ya watu yanazidi kuporomoka kwa kasi sana hasa humu MMU. Mbaya zaidi, haya maadili mabaya ambayo yanaibuka kwenye mitandao kama Jamii forums yanasambaa kwa kasi ya ajabu mpaka mitaani.
Unaweza kuta umepanda mbegu ya maadili mabovu humu halafu ikamea na kukomaa mpaka kiasi cha kwenda kuwaathiri watoto wako, ndugu, jamaa na marafiki.
Mie mwenyewe ni kama mwathirika wa hizi tabia kutokana na kuambukizwa na MMU members, ila nimeweza kujitambua na kujisimamia na sasa nimerudi kwenye mstari.
Nilikuja mtu safi kabisa humu, lakini baada ya kukutana na magarasha ya mathreads na wengine, nilijikuta tabia yangu inayumba.
Ili kujaribu kufisha hii tabia chafu iliyoonea humu sihitaji kutoa maelezo mengi, angalia comments na threads za watu, naomba uongozi wa MMU au Jamii forums uanzishe MMU Award.
Ambayo itakuwa inatolewa kila mwisho wa mwaka kwa mwanammu mwenye maadili mema. Hii itasaidia sana "kudemotivate" tabia chafu na hulka mbaya za kuzimuni zinazoendelea humu, hasa MMU.
Kama Jamii forms hawawezi kuanzisha hii award, basi wanipe nafasi ya kuongea nao ili mie nianzishe Simplicity. MMU Award. Nitaitoa kila mwisho wa mwaka, tarehe 31 Desemba na kumkabidhi mwana MMU mwenye maadili bora kabisa,
Award hiyo itakuwa sio chini ya mil 2 za Kitanzania. Mshindi atapatikana kwa njia ya kura na kuidhinishwa na bodi maalumu itakayoundwa.
Nawasilisha na kusubiri mawazo yenu.
gfsonwin, AshaDii na MwanajamiiOne wako wapi siku hizi.