Chilemba wamela pamputi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 544
- 598
Mkuu huo uchaguzi ambao CCM walipata ushindi wa kishindo wa asilimia 99.9 ulifanyika mwaka gani? na ulikuwa ni uchaguzi wa nini?.Mkuu Kagoshima, wananchi wepi hao unao wazungumzia wanaotaka chama mbadala wa CCM?.
Kipimo cha wananchi kutaka chama mbadala ni kipi?.
Tujifunze kuwa wakweli toka ndani ya nafsi zetu, chama kipate ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% halafu useme watu wanataka chama mbadala. Kipimo pekee cha sauti ya watu ni kupitia kwenye sanduku la kura, natumaini kazi nzuri kwenye serikali za mitaa umeiona, October inakwenda kukamilika kwenye uchaguzi mkuu na wembe uliotumika kunyolea kwenye serikali za mitaa, unakwenda kutumika kwenye uchaguzi mkuu!.
PKupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Wanabodi, Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi ulipo, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku...www.jamiiforums.com
Mkuu mtazamo wako unaweza ukawa sahihi lakini, sikubaliani na wewe kwenye bandiko lako unapo ongelea siasa safi ,.mapokeo ya wananchi juu ya vyama pinzani haimanishi kwamba hivyo vyama vina siasa safi hapana,Ukweli ni kwamba wananchi wanataka chama mbadala wa CCM kuongoza inchi. Ndiyo maana kila chama cha upinzani kinapoibuka huwa na nguvu sana kiushidani. Na CCM imekua ikitumia raslimali nyingi pamoja na vyombo dola kubaki madatakani na kujaribu kuua upinzani kila unapopata nguvu. Na hapo ndipo kama taifa mtego ulipo. Hili taifa haitakuja liendee kama mfumo huu wa siasa hautobadilika. Kumbuka ili taifa liendelee tinahitaji siasa safi pia.
Anzia NCCR ya Mrema, CAF ya Maalim na Lipumba na sasa CHADEMA katika nyakati tofauti Serikali zinazo ongozwa na CCM zimetumia resource kubwa kuhakikisha opposition parties zinakufa. Resources zikitumika kudhofisha chama A chama B kinapata nguvu ukihamishia resources kuua chama B chama C kinaibuka kwani ni matakwa ya wenye inchi .
As a result miaka nenda rudi sehemu kubwa ya esources za inchi zitakua zinatumika kukandamiza na kuuwa upinzani utakaokuwa unaibuka kwa namna nyingine. Kwa kuwa hivyo Tanzania haitokuja ipige hatua kubwa kimaendeleo. Suruhisho either turudi mfumo wa chama kimoja au turuhusu democrasia ya kweli. Kubaki vuguvugu hivi ni hasara kubwa kwa taifa ingawa yaweza kuwa faida kwa CCM na familia zao.
Boss kagoshima Baada ya Uchaguzi Mkuu 2020, Tunarudi kwenye Mfumo wa Chama Kimoja, Hakuna Mpinzani atakayepewa Jimbo, Yaani tunashinda 100 % kwenye Udiwani, Ubunge na Urais. Jiandae Kisaikolojia Boss.
Kwani kuna Mtu au Watu ... Wanateseka?
Siasa safi iko ndani ya CCM, na maendeleo yanaonekana, kumbuka Magufuli wa leo ni matokeo ya Upinzani ,huyu ndie Rais tuliemhitaji kama Taifa na Mungu katupa hitajo letu, mtangulizi wake mlimwita Dhaifu akawaletea Jembe Sasa munalalamaUkweli ni kwamba wananchi wanataka chama mbadala wa CCM kuongoza inchi. Ndiyo maana kila chama cha upinzani kinapoibuka huwa na nguvu sana kiushidani. Na CCM imekua ikitumia raslimali nyingi pamoja na vyombo dola kubaki madatakani na kujaribu kuua upinzani kila unapopata nguvu. Na hapo ndipo kama taifa mtego ulipo. Hili taifa haitakuja liendee kama mfumo huu wa siasa hautobadilika. Kumbuka ili taifa liendelee tinahitaji siasa safi pia.
Anzia NCCR ya Mrema, CAF ya Maalim na Lipumba na sasa CHADEMA katika nyakati tofauti Serikali zinazo ongozwa na CCM zimetumia resource kubwa kuhakikisha opposition parties zinakufa. Resources zikitumika kudhofisha chama A chama B kinapata nguvu ukihamishia resources kuua chama B chama C kinaibuka kwani ni matakwa ya wenye inchi .
As a result miaka nenda rudi sehemu kubwa ya esources za inchi zitakua zinatumika kukandamiza na kuuwa upinzani utakaokuwa unaibuka kwa namna nyingine. Kwa kuwa hivyo Tanzania haitokuja ipige hatua kubwa kimaendeleo. Suruhisho either turudi mfumo wa chama kimoja au turuhusu democrasia ya kweli. Kubaki vuguvugu hivi ni hasara kubwa kwa taifa ingawa yaweza kuwa faida kwa CCM na familia zao.
Siasa safi iko ndani ya CCM, na maendeleo yanaonekana, kumbuka Magufuli wa leo ni matokeo ya Upinzani ,huyu ndie Rais tuliemhitaji kama Taifa na Mungu katupa hitaji letu, mtangulizi wake mlimwita Dhaifu akawaletea Jembe Sasa munalalamaUkweli ni kwamba wananchi wanataka chama mbadala wa CCM kuongoza inchi. Ndiyo maana kila chama cha upinzani kinapoibuka huwa na nguvu sana kiushidani. Na CCM imekua ikitumia raslimali nyingi pamoja na vyombo dola kubaki madatakani na kujaribu kuua upinzani kila unapopata nguvu. Na hapo ndipo kama taifa mtego ulipo. Hili taifa haitakuja liendee kama mfumo huu wa siasa hautobadilika. Kumbuka ili taifa liendelee tinahitaji siasa safi pia.
Anzia NCCR ya Mrema, CAF ya Maalim na Lipumba na sasa CHADEMA katika nyakati tofauti Serikali zinazo ongozwa na CCM zimetumia resource kubwa kuhakikisha opposition parties zinakufa. Resources zikitumika kudhofisha chama A chama B kinapata nguvu ukihamishia resources kuua chama B chama C kinaibuka kwani ni matakwa ya wenye inchi .
As a result miaka nenda rudi sehemu kubwa ya esources za inchi zitakua zinatumika kukandamiza na kuuwa upinzani utakaokuwa unaibuka kwa namna nyingine. Kwa kuwa hivyo Tanzania haitokuja ipige hatua kubwa kimaendeleo. Suruhisho either turudi mfumo wa chama kimoja au turuhusu democrasia ya kweli. Kubaki vuguvugu hivi ni hasara kubwa kwa taifa ingawa yaweza kuwa faida kwa CCM na familia zao.
Hawapo chini ya CCM wote tunaishi raha mstaareheBoss kagoshima Baada ya Uchaguzi Mkuu 2020, Tunarudi kwenye Mfumo wa Chama Kimoja, Hakuna Mpinzani atakayepewa Jimbo, Yaani tunashinda 100 % kwenye Udiwani, Ubunge na Urais. Jiandae Kisaikolojia Boss.
Kwani kuna Mtu au Watu ... Wanateseka?
Kikarara78,
Chief . you are very wrong. Think deep. To be permanent what you are planning for october has to be constitutional . Kitakachotokea October is very temporal. Ubabe , vitisho, rushwa, manunuzi ya wapizani vitatawala je hilo ndo takwa la watanzania? Nakuambia hivi kuna kundi kubwa la raia ambao hawajawahi kupigia kura CCM hawa utawaweka wapi hiyo October.
Nakuambia serikali ya CCM hawawezi hata siku moja kubadilisha sheria ili inchi irudi mfumo wa chama kimoja. Wanaogopa mabeberu. Kitakacho tokea ni kuendelea kutumia kodi za watanzania kurubuni na kukandamiza upinzani. Jinsi tunavyoendelea ndivyo resources nyingi zitaongezeka kulinda chama dola huku inchi ikiendelea kuning'inia kwenye umaskini.
Mkuu Kagoshima, wananchi wepi hao unao wazungumzia wanaotaka chama mbadala wa CCM?.
Kipimo cha wananchi kutaka chama mbadala ni kipi?.
Tujifunze kuwa wakweli toka ndani ya nafsi zetu, chama kipate ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% halafu useme watu wanataka chama mbadala. Kipimo pekee cha sauti ya watu ni kupitia kwenye sanduku la kura, natumaini kazi nzuri kwenye serikali za mitaa umeiona, October inakwenda kukamilika kwenye uchaguzi mkuu na wembe uliotumika kunyolea kwenye serikali za mitaa, unakwenda kutumika kwenye uchaguzi mkuu!.
PKupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Wanabodi, Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi ulipo, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku...www.jamiiforums.com
Kwanza walikuwa wanashindana na kina nani? Unajuwa hawa CCM akili zao zinazidiwa na mtoto wa chekechea kabisa.Mkuu huo uchaguzi ambao CCM walipata ushindi wa kishindo wa asilimia 99.9 ulifanyika mwaka gani? na ulikuwa ni uchaguzi wa nini?.
Hawa CCM wanaotwanganaga kila siku kwenye chaguzi za ndani na kwenye Vikao vyao vya ndani? Subiri kura za maoni zianze tena utaona. CCM ni chama kinachoendaga kwenye uchaguzi kikiwa na majeraha mengi ya ndani na mgawanyiko mkubwa. Rushwa na kujipendekeza kwenye teuzi na kura za maoni, ndio walimu hasaa. Sijui siasa safi zipi unazozungumzia.Siasa safi iko ndani ya CCM, na maendeleo yanaonekana, kumbuka Magufuli wa leo ni matokeo ya Upinzani ,huyu ndie Rais tuliemhitaji kama Taifa na Mungu katupa hitajo letu, mtangulizi wake mlimwita Dhaifu akawaletea Jembe Sasa munalalama
Mkuu Mfia Ukweli, mimi ni Mzalendo wa kweli wa taifa hili na nipo ndani ya bongo.Paskali; unaanza kunifanya niamini kuwa sasa hivi unaishi nje ya nchi.
Wakitoka hapo ,wanakuwa wamoja huo ndio ukomavu ,vp huko kwenu ikitokea hivyo anayeshindwa lazima aole.... tuHawa CCM wanaotwanganaga kila siku kwenye chaguzi za ndani na kwenye Vikao vyao vya ndani? Subiri kura za maoni zianze tena utaona. CCM ni chama kinachoendaga kwenye uchaguzi kikiwa na majeraha mengi ya ndani na mgawanyiko mkubwa. Rushwa na kujipendekeza kwenye teuzi na kura za maoni, ndio walimu hasaa. Sijui siasa safi zipi unazozungumzia.
Washukuru sana vyombo vya dola.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui unamaanisha nini paskali. Either you are jocking or you pretend to be blind. Or else unapiga kijembe kwamba wananchi ni dhaifu kwamba iweje CCM wafanye ubaradhuli ule serikali za mitaa bado wananchi tukakaa kimya ? Uoga wa vyombo vya dola ambayo ndiyo kinga ya CCM. Kumbuka Yale yalikua maagizo ya mwenyekiti wa CCM aliyepiga marufuku wapinzani kufanya siasa. Ninachosema ni kwamba pamoja na uoga wa wananchi. Mwendo ni uleule wataendelea kuunga mkono kila upinzani unapojitokeza na Serkali ya CCM itaendelea kutumia resource za inchi kujaribu kuua upizani husika in kind of a vicious cycle which will make us as a nation remain stagnantMkuu Kagoshima, wananchi wepi hao unao wazungumzia wanaotaka chama mbadala wa CCM?.
Kipimo cha wananchi kutaka chama mbadala ni kipi?.
Tujifunze kuwa wakweli toka ndani ya nafsi zetu, chama kipate ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% halafu useme watu wanataka chama mbadala. Kipimo pekee cha sauti ya watu ni kupitia kwenye sanduku la kura, natumaini kazi nzuri kwenye serikali za mitaa umeiona, October inakwenda kukamilika kwenye uchaguzi mkuu na wembe uliotumika kunyolea kwenye serikali za mitaa, unakwenda kutumika kwenye uchaguzi mkuu!.
PKupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Wanabodi, Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi ulipo, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku...www.jamiiforums.com
Usilete tabia za kike kwenye mijadala serious, unaleta umbea wa kuzungumzia scandal fulani mbaya ili uulizwe ndio utiririke, JF ni user generated forum una kitu unafungulia thread unaweka sio kuja kwenye mada zisizohusu, mimi always niko frank, open na transparent, una lolote kuhusu mimi be free kulisema, usijifiche chini ya mwamvuli wa umbeya wa scandal fulani mbaya, ifungulie tuu uzi watu waijue.Pia, una scandal fulani mbaya sana wewe na mwalle.
Sishangai kwanini unaweza kuandika upupu, CCM itatawala milele.
Something is wrong in your brain cells.
CCM ndio hii inatawala milele na maendeleo haya ya kuonekanika tunayaona, ndege huzioni?, barabara za juu kwa juu huzioni?, SGR huioni, Stigler kazi imeanza, stagnation gani unayoizungumzia wewe wakati tunapaa na Tanzania ya viwanda?.Sijui unamaanisha nini paskali. Either you are jocking or you pretend to be blind. Or else unapiga kijembe kwamba wananchi ni dhaifu kwamba iweje CCM wafanye ubaradhuli ule serikali za mitaa bado wananchi tukakaa kimya ? Uoga wa vyombo vya dola ambayo ndiyo kinga ya CCM. Kumbuka Yale yalikua maagizo ya mwenyekiti wa CCM aliyepiga marufuku wapinzani kufanya siasa. Ninachosema ni kwamba pamoja na uoga wa wananchi. Mwendo ni uleule wataendelea kuunga mkono kila upinzani unapojitokeza na Serkali ya CCM itaendelea kutumia resource za inchi kujaribu kuua upizani husika in kind of a vicious cycle which will make us as a nation remain stagnant