Simple and clear

Simple and clear

Sema kweli.

Binti yangu juzi kaja na kijana nyumbani anayeitwa Paul ila anaonekana mapepe/machepele.
Mkuu unaruhusuje bintiyo aje na kakijana kwenye mji wako, Mwisho wa siku jiandae kulea mjuu ambaye baba yake hana address
 
Mkuu unaruhusuje bintiyo aje na kakijana kwenye mji wako, Mwisho wa siku jiandae kule mjuu ambaye baba yake hana address
Ndivyo tunavyoishi, uhuru wa aina hiyo upo.

Sitaki kujifanya nambana halafu wahuni wakampasue.
 
Ndivyo tunavyoishi, uhuru wa aina hiyo upo.

Sitaki kujifanya nambana halafu wahuni wakampasue.
Una uhakika gani hawajampasua, kwa mimi nilivo na roho yangu, huyo kijana akija kwangu nampa onyo asikanyage tena home, siku akija kurudi nampasulia pilipili machoni na ngumi za kutosha na mwenzi wake viganja vitamuhusu...
 
Una uhakika gani hawajampasua, kwa mimi nilivo na roho yangu, huyo kijana akija kwangu nampa onyo asikanyage tena home, siku akija kurudi nampasulia pilipili machoni na ngumi za kutosha na mwenzi wake viganja vitamuhusu...
You are too old school man
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom