hahahhahaa! I cant believe kuna watu kama wewe! Nakusamehe bure,nisije kuwa fyatu kama wewe,Kumbe yule aliyesema bange nadhani alikosea ,hizi ni kokeini kabisaaaa.Unaingia kila thread kuchafua hali ya hewa.
Kuna matusi hayavumiliki watu wanatukanwa na hakuna chochote kinachofanyika. Na wanafahamika kwa kukutukana. Na anatuka watu watano mpaka na wazazi wao na hakuna hata wakusema imetosha.
Tubadilishane mawazo kuhusu mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana. TAFADHALI: Hii si sehemu ya kuweka picha chafu ama kutumia lugha kali sana. Zitafutwa!