tc_edo
Senior Member
- Apr 9, 2021
- 123
- 98
Uongozi wa Inter Milan yapata saini ya Simon Inzhagi kuwa kocha mkuu wa Inter Milan baada lazio kushindwa kuafikiana makubaliano ya mkabata mpya hivyo kuacha milango wazi kwa kocha Inzhagi.
Lazio imeamalika na kuwa timu bora kwenye ligi ya italia (Serie A) tokea Simon Inzhagi achukue uongozi mwaka 2016 hivyo basi uongozi wa Inter Milan unaona ni mtu anaefaa kuifundisha klabu ya Inter Milan.
Habari nyingine Serie A: Spalleti yuko mbioni kuwa kocha wa Napoli baada ya timu hiyo kumtimua Gatusso.
Lazio imeamalika na kuwa timu bora kwenye ligi ya italia (Serie A) tokea Simon Inzhagi achukue uongozi mwaka 2016 hivyo basi uongozi wa Inter Milan unaona ni mtu anaefaa kuifundisha klabu ya Inter Milan.
Habari nyingine Serie A: Spalleti yuko mbioni kuwa kocha wa Napoli baada ya timu hiyo kumtimua Gatusso.