Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,551
- 2,183
Wapo wengiCCM inatakiwa kuwa na RCS na DCs wa aina hii, Hongera Rais wangu kipenzi Samia
Ila Samia anajitahidi kusema ukweli,Anaupiga mwingi
Hadi Lissu anajua,Ila Samia anajitahidi kusema ukweli,
Mboweje?Hadi Lissu anajua,
Samia ndiyo anaunua au soko la dunia ndiyo linaamua? rubbishBEI YA PAMBA JUU TENA,TOKA TZS 810 HADI TZS 1,800 MAKOFI KWA RAIS SAMIA,
Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg mpaka Tshs 1,720-1,800/kg kwa kilo hivi sasa,
Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% ambalo wakulima wanalipwa mkono kwa mkono tena by " Cash money" NO CASH NO COTTON
Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo,
kwa msiofahamu,Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba"
CCM imekuwa ikihenyeshwa katika kila Uchaguzi kosa la CCM ikiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba "
RC Kafulila anasema ,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia Tshs 1,720-1,800/kg ila ni kwa awamu hii ya Sita na Mhe Samia Suluhu ndio Rais,
Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida ya Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba ili kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea Tshs 700/kg ya Pamba atakayouza iliyokuwa iende kwa Mnunuzi kama faida Mama ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"
Msikilize huyu Mwamba Mpaka mwisho,
View attachment 2253903
Jinga kweli miaka ya nyuma kahawa ilikuwa bei juu, mbaazi na ngwara Samia alikuwepo?BEI YA PAMBA JUU TENA,TOKA TZS 810 HADI TZS 1,800 MAKOFI KWA RAIS SAMIA
Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg mpaka Tshs 1,720-1,800/kg kwa kilo hivi sasa,
Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% ambalo wakulima wanalipwa mkono kwa mkono tena by " Cash money" NO CASH NO COTTON
Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo.
kwa msiofahamu,Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba"
CCM imekuwa ikihenyeshwa katika kila Uchaguzi kosa la CCM ikiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba "
RC Kafulila anasema ,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia Tshs 1,720-1,800/kg ila ni kwa awamu hii ya Sita na Mhe Samia Suluhu ndio Rais,
Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida ya Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba ili kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea Tshs 700/kg ya Pamba atakayouza iliyokuwa iende kwa Mnunuzi kama faida Mama ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"
Msikilize huyu Mwamba Mpaka mwisho,
View attachment 2253903
Kwani kabla Samia soko la dunia halikuwepo?Samia ndiyo anaunua au soko la dunia ndiyo linaamua? rubbish
Huyu apewe miaka 20 kabisaMitano tena kwa Samia.
Dada shida yako mihemkoJinga kweli miaka ya nyuma kahawa ilikuwa bei juu, mbaazi na ngwara Samia alikuwepo?
Samia ni level zingine 👇BEI YA PAMBA JUU TENA,TOKA TZS 810 HADI TZS 1,800 MAKOFI KWA RAIS SAMIA
Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg mpaka Tshs 1,720-1,800/kg kwa kilo hivi sasa,
Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% ambalo wakulima wanalipwa mkono kwa mkono tena by " Cash money" NO CASH NO COTTON
Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo.
kwa msiofahamu,Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba"
CCM imekuwa ikihenyeshwa katika kila Uchaguzi kosa la CCM ikiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba "
RC Kafulila anasema ,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia Tshs 1,720-1,800/kg ila ni kwa awamu hii ya Sita na Mhe Samia Suluhu ndio Rais,
Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida ya Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba ili kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea Tshs 700/kg ya Pamba atakayouza iliyokuwa iende kwa Mnunuzi kama faida Mama ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"
Msikilize huyu Mwamba Mpaka mwisho,
View attachment 2253903
Hiyu ndo rais wa wanyonge Sasa siyo unyonge wa sifa tu na mapambio ya kipindi kile Cha giza eti mpaka tbc wakaweka kipindi Cha kishindo Cha awamu ya tano. Mama anafanya kimya kimya hamna mayowe Wala kelele.BEI YA PAMBA JUU TENA,TOKA TZS 810 HADI TZS 1,800 MAKOFI KWA RAIS SAMIA
Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg mpaka Tshs 1,720-1,800/kg kwa kilo hivi sasa,
Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% ambalo wakulima wanalipwa mkono kwa mkono tena by " Cash money" NO CASH NO COTTON
Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo.
kwa msiofahamu,Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba"
CCM imekuwa ikihenyeshwa katika kila Uchaguzi kosa la CCM ikiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba "
RC Kafulila anasema ,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia Tshs 1,720-1,800/kg ila ni kwa awamu hii ya Sita na Mhe Samia Suluhu ndio Rais,
Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida ya Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba ili kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea Tshs 700/kg ya Pamba atakayouza iliyokuwa iende kwa Mnunuzi kama faida Mama ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"
Msikilize huyu Mwamba Mpaka mwisho,
View attachment 2253903
Huyu apewe miaka 20 kabisa
Alo huyu mama anatisha,Samia ni level zingine 👇
Acha uongo. Hapa singida sisi wakulima wa mbaazi tulikuwa tunalia mpaka tunamsubili jpm akatize tu tumponde mawe kwa kuharibu zao la mbaazi Kama alivyotaka kuuawa kule luangwa kwa kuharibu zao la korosho. Yule bwana kila zao ilikuwa kilio halafu anajiita mtetezi wa wanyonge kumbe anawanyonga.Jinga kweli miaka ya nyuma kahawa ilikuwa bei juu, mbaazi na ngwara Samia alikuwepo?