Simiyu: Kamanda Ramadhan J Mayenga wa CHADEMA afariki Dunia

Simiyu: Kamanda Ramadhan J Mayenga wa CHADEMA afariki Dunia

Mchelsea

Member
Joined
Dec 22, 2014
Posts
32
Reaction score
18
Huyu ni Ramadhan Jilisha Mayenga amefariki siku 3 baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Lalago kilichopo Wilayan Maswa, Simiyu.
Aidha kamanda huyo alihutubia mkutano huo ulioitishwa maalum kuwashukuru wananchi kwa kukipatia chama hicho ushindi katika baadhi ya vitongoji.

Katika hotuba yake kamanda huyo alizungumzia namna Diwan wa kata ya Lalago Alli Mbariki (CCm) asivyowajibika ikiwemo kutohudhuria vikao vya halmashauri, kutochangamkia miradi mbali mbali ya kijamii km vile maji, uzembe uliofanyika mpaka kupelekea kiwanda cha mzungu Cargil kufa na kuwakosesha ajira vijana, kutokuitisha mikutano kuongea na wananchi wake ili waweze kumpatia matatizo yao kama wananchi.

Kamanda huyo amefariki leo asubuh ya tarehe 3/2/2015.
 
R.I.P Kamanda sisi tuko nyuma yako kwa sasa tunachukua fimbo na kusimama kuhakikisha huyo diwani octoba haoni ndani
 
Huyo diwan muda wote anatafuna mirungi tu km mbuzi hana lolote, october imewadia ataisoma namba
 
R.I.P Kamanda Ramadhan Mayenga ...
Huyu ni Ramadhan Jilisha Mayenga amefariki siku 3 baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Lalago kilichopo Wilayan Maswa, Simiyu.
Aidha kamanda huyo alihutubia mkutano huo ulioitishwa maalum kuwashukuru wananchi kwa kukipatia chama hicho ushindi katika baadhi ya vitongoji.

Katika hotuba yake kamanda huyo alizungumzia namna Diwan wa kata ya Lalago Alli Mbariki (CCm) asivyowajibika ikiwemo kutohudhuria vikao vya halmashauri, kutochangamkia miradi mbali mbali ya kijamii km vile maji, uzembe uliofanyika mpaka kupelekea kiwanda cha mzungu Cargil kufa na kuwakosesha ajira vijana, kutokuitisha mikutano kuongea na wananchi wake ili waweze kumpatia matatizo yao kama wananchi.

Kamanda huyo amefariki leo asubuh ya tarehe 3/2/2015.
 
CCM hao wanataka kumfanya msukule, uchawi at work. Hatuogopi tutachangua mwingine bado tuna hazina
 
Huyu ni Ramadhan Jilisha Mayenga amefariki siku 3 baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Lalago kilichopo Wilayan Maswa, Simiyu.
Aidha kamanda huyo alihutubia mkutano huo ulioitishwa maalum kuwashukuru wananchi kwa kukipatia chama hicho ushindi katika baadhi ya vitongoji.

Katika hotuba yake kamanda huyo alizungumzia namna Diwan wa kata ya Lalago Alli Mbariki (CCm) asivyowajibika ikiwemo kutohudhuria vikao vya halmashauri, kutochangamkia miradi mbali mbali ya kijamii km vile maji, uzembe uliofanyika mpaka kupelekea kiwanda cha mzungu Cargil kufa na kuwakosesha ajira vijana, kutokuitisha mikutano kuongea na wananchi wake ili waweze kumpatia matatizo yao kama wananchi.

Kamanda huyo amefariki leo asubuh ya tarehe 3/2/2015.

R.I.P Kamanda, Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana Lihimidiwe.....Amini

Mwenyezi Mungu aipumzishe Roho yako Mahala pema peponi na Akusamehe dhambi zako zote.

Tuko nyuma yako Kamanda, usisahau Kumwambia Sokoine na Mwalimu kuwa Nchi na Neema zake zote MAFEDHULI WAMEMALIZA HASA YULE BW.ALIYE MZUIA NA KUMWAMBIA BADO MUDA WAKE.
 
Naombeni picha na namba ya simu ya huyo diwani kata ya Lalago haraka sana.
R.I.P KAMANDA.
 
Huyu kamanda nilimfahamu vizur sana, alikuwa tumain jipya kwa kata ya lalago alikuwa ni mtu wa watu alikuwa tayar kuwatumikia watu, dhamira yake ilijionesha dhahiri, kijiji kimegubikwa na simanz kimepoteza shujaa muhimu mpganaji wa kweli mtafta haki
Huyo kamanda Mungu amweke mahali pema peponi , ila kifo chake kutokea ghafla namna hiyo ni mashaka makubwa sana !!!
 
By Mwl. MAKOTA.
Nimesikitishwa sana na kifo cha Ramadhan, ni pigo kwa jamii yote ya lalago kumpoteza kijana mpiganaji na mpenda maendeleo. R.I.P JILISHA.
 
By Mwl. MAKOTA.
Nimesikitishwa sana na kifo cha Ramadhan, ni pigo kwa jamii yote ya lalago kumpoteza kijana mpiganaji na mpenda maendeleo. R.I.P JILISHA.

Nimeupokea kwa masikitiko sana msiba huu,,,ukizingatia kuwa ni kijana tuliekua pamoja toka utoto wetu,,,,He was real kamanda,,,,Wote tutapita njia hiyo lakini kwake imekuwa mapema sana.....MUNGU AIWEKE MAHALA PEMA PEPONI ROHO YA MAREHEMU .....AMEN
 
Ccm kwa ndumba hawajambo, ila tunakomaa nao mwanzo mwisho, haturudi nyuma, huko Simiyu wachawi c muna namna ya kuwafanya? mfanyeni huyo diwani mapema kabla hajala mwingne! nawakubali sana me nasubria matukio rfa! fanyen kaz wakuu
 
Kuna jamaa yangu kanihabarisha hii habari mbaya sana japo ni mapenzi ya muumba, Mungu akutangulie kamanda na ulale pema!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom