uzi mzuri sana huu. umesema kweli, hizo ni similarities za kweli. lakini kuna differences pia.
1. nyerere alioa mke ili kama mwanaume aheshimiwe kama mwanafamilia, lakini zito hajui maana ya familia
2. nyerere alikuwa mkweli sana, zito..............
3. nyerere hajawahi kuwa msaliti, zito ana tuhuma za kula karibia bilioni tatu toka ccm ili awasaliti na kuchafua CHADEMA ndio maana ana mipesa ya kujenga lile goropa pale dodoma/hata kama yeye anasema amekopa bank lakini ukweli unajulikana na insiders.
4. nyerere hakukaa masaki, zito anakaa masaki
5. nyerere hajawahi kuwa mbunge wa mahakama, zito ni mbunge wa mahakama
6. nyerere hajawahi kuwa na kashfa ya kulala na mbunge, zitto ana kashfa ya kulala na marehemu amina chifupa.
7. kuna mengi, naogopa nitamchana hapa hadi damu.....