Similarities between Nyerere and Zitto Kabwe

Similarities between Nyerere and Zitto Kabwe

Acha utani na propaganda za kitoto. Huwezi kulinganisha mlima na kichuguu!! Similarities between Nyerere and Zitto? As for now, nothing. Two different life! May be later. It is up to Zitto to prove, if there is, any in his future life.
 
Ukiwa msaliti dhidi ya ndugu zako waliokuwa na mipango na nia njema basi hiyo roho itakutesa sana na huwezi kuwa na amani maishani hata kama usaliti huo umekufanya uwe na mali nyingi. Hufa ukiwa huna amani, na mali hizo zitawafarakanisha wanae.Na mara zote taswira yake hufifia kama usiku wa manane. Amani itarudi tu iwapo msaliti atajirudi na kurudi kwa ndugu zake na KUWAANGUKIA KWA DHATI YA MOYO
 
uzi mzuri sana huu. umesema kweli, hizo ni similarities za kweli. lakini kuna differences pia.

1. nyerere alioa mke ili kama mwanaume aheshimiwe kama mwanafamilia, lakini zito hajui maana ya familia

2. nyerere alikuwa mkweli sana, zito..............

3. nyerere hajawahi kuwa msaliti, zito ana tuhuma za kula karibia bilioni tatu toka ccm ili awasaliti na kuchafua CHADEMA ndio maana ana mipesa ya kujenga lile goropa pale dodoma/hata kama yeye anasema amekopa bank lakini ukweli unajulikana na insiders.

4. nyerere hakukaa masaki, zito anakaa masaki

5. nyerere hajawahi kuwa mbunge wa mahakama, zito ni mbunge wa mahakama

6. nyerere hajawahi kuwa na kashfa ya kulala na mbunge, zitto ana kashfa ya kulala na marehemu amina chifupa.

7. kuna mengi, naogopa nitamchana hapa hadi damu.....
8.Nyerere hajawahi kula uroda wa diva lakn zitto ameula
9.zitto anamiliki majumba na hammer nyerere hakuwahi kumilik hayo.
10. Nyerere hakuwa msaliti wa nchi na chama . Zito ni msaliti wa nchi na chama
 
Hapo kwa Mtume Muhammad<SAW> rekebisha,,,,,Kipenzi cha ALLAH ni born town wa Makka.
 
Back
Top Bottom