kashinje masanja
Member
- Jan 18, 2013
- 26
- 9
Najaribu kuwalinganisha hawa watu nashindwa kabisa kupata tofauti yao, yaani Zitto Kabwe na Julius Nyerere , similarities zao ni kama zifuatazo
1. Nyerere alizaliwa kijijini butiama mji mdogo amabo kila mtu aliudharau kwa kipindi hicho.
Zitto naye alizaliwa mkoani kigoma ambao watawala wa ccm hawakuujali kabisa tena si tu kwamba alizal;iwa kigoma bali alizaliwa MWANDIGA
2.Nyerere alikuwa mkali dhidi ya wapenda rushwa kiasi kwamba alikuwa tayari hata kusema c.cm chama alichokianzisha mwenyewe kuwa siyo baba yake wala mama yake na yuko tyari kukiacha.
Zitto Kabwe alikuwa tayari kumuagiza CAG akikague chama ambacho yeye alikuwa ni naibu katibu mkuu
Nyerere kila alipoongea ilikuwa lazima kila mtu amsikilize kwa makini, nakumbuka jinsi alivyolimaliza swala la G55 kiasi amabcho hata waanzilishi wa hilo walimpigia makofi
Zitto alipokuwa anaongea hata wenye kejeli na kebehi kama Muhongo walinyamaza kimya na hata wabaya wake mbowe na tundu lissu walikuwa wanampigia makofi kila mara.
Tunajifunza nini Kupitia hilo andiko hapo Juu??
watu wote maarufu duniani walizaliwa kijijini wALA SIYO SIFA KUJISIFIA KUWA WEWE UMEZALIWA ocen road, natoa mifano sita tu ya watu waliopata umaarufu mjini wakati walizaliwa kijijini
1. Nyerere alizaliwa butiama kawa maarufu kuliko waliozaliwa kariakoo
2.mandela kazaliwa qunu kawa MAARUFU KULIKO WALIOZALIWA PRETORIA AU JBURG
3.yesu alizaliwa naazereth kawa maarufu kuliko waliozaliwa yerusalem
4. Mtume Mohammad kazaliwa medina lakini amekuwa maarufu kuliko waliozaliwa mecca
5.Hitller alizaliwa poland lakini amekuwa maarufu kuliko waliozaliwa berlin
6 Kimeta Wa Mpui kazaliwa mpui kaona komputa kwa mara ya kwanza akiwa chuo kikuu ila ni maarufu sana mitandaoni kuliko waliozaliwa wameshika ipaD NA LAPTOP
KWA LEO NAISHIA HAPA
1. Nyerere alizaliwa kijijini butiama mji mdogo amabo kila mtu aliudharau kwa kipindi hicho.
Zitto naye alizaliwa mkoani kigoma ambao watawala wa ccm hawakuujali kabisa tena si tu kwamba alizal;iwa kigoma bali alizaliwa MWANDIGA
2.Nyerere alikuwa mkali dhidi ya wapenda rushwa kiasi kwamba alikuwa tayari hata kusema c.cm chama alichokianzisha mwenyewe kuwa siyo baba yake wala mama yake na yuko tyari kukiacha.
Zitto Kabwe alikuwa tayari kumuagiza CAG akikague chama ambacho yeye alikuwa ni naibu katibu mkuu
Nyerere kila alipoongea ilikuwa lazima kila mtu amsikilize kwa makini, nakumbuka jinsi alivyolimaliza swala la G55 kiasi amabcho hata waanzilishi wa hilo walimpigia makofi
Zitto alipokuwa anaongea hata wenye kejeli na kebehi kama Muhongo walinyamaza kimya na hata wabaya wake mbowe na tundu lissu walikuwa wanampigia makofi kila mara.
Tunajifunza nini Kupitia hilo andiko hapo Juu??
watu wote maarufu duniani walizaliwa kijijini wALA SIYO SIFA KUJISIFIA KUWA WEWE UMEZALIWA ocen road, natoa mifano sita tu ya watu waliopata umaarufu mjini wakati walizaliwa kijijini
1. Nyerere alizaliwa butiama kawa maarufu kuliko waliozaliwa kariakoo
2.mandela kazaliwa qunu kawa MAARUFU KULIKO WALIOZALIWA PRETORIA AU JBURG
3.yesu alizaliwa naazereth kawa maarufu kuliko waliozaliwa yerusalem
4. Mtume Mohammad kazaliwa medina lakini amekuwa maarufu kuliko waliozaliwa mecca
5.Hitller alizaliwa poland lakini amekuwa maarufu kuliko waliozaliwa berlin
6 Kimeta Wa Mpui kazaliwa mpui kaona komputa kwa mara ya kwanza akiwa chuo kikuu ila ni maarufu sana mitandaoni kuliko waliozaliwa wameshika ipaD NA LAPTOP
KWA LEO NAISHIA HAPA
Last edited by a moderator: