Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 16,029
- 36,744
Haitumii line mkuu...Hivi chifu vida superkasi wanakufungia antena au ni line tu unapachika kwenye router
mi wameshakuja kufanya survey na wameshanisainisha mkataba wao...nasubir wanipe invoice nilipe waje kufunga.