Simbanet internet gharama utata

Simbanet internet gharama utata

Hivi chifu vida superkasi wanakufungia antena au ni line tu unapachika kwenye router
Haitumii line mkuu...
mi wameshakuja kufanya survey na wameshanisainisha mkataba wao...nasubir wanipe invoice nilipe waje kufunga.
 
Hizo gharama ni zaidi ya internet ya Elon Musk ( Starlink )

Hawa dawa Yao ni Starlink ikifika Tanzania ofisii zao watafugia kuku na BATA ...

Ingia humu uone kama tanzania huduma za Starlink zimeshafika.



Unachofanya unaagiza dish linakufukia hata kama unaishi Nanjilinji, Vifurushi unakuwa unalipia Kwa Kadi. Na Vifurushi vyao ni cheap kuliko hivi vya kinyonyaji + speed ya internet Yao ni ya kiwango cha juu kuliko hii ya Mitandao yetu ya kinyonyaji

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hiyo kit inauzwa $500 bila shipping.
 
Kufungiwa bure..ila utalipa kifurushi cha miezi miwili, 20mbps ni 115k hivyo nitadeposit 230k
Hivi mnaposema Unlimited mnamaanisha hakuna mpango wa kukadiriwa kifurushi?yaani unatumia tu kwa kadiri uwezavyo?na je kuna limit ya matumizi kwa idadi ya vifaa?
 
Wanatumia Tech gani kuleta internet?
Wana kifaa kama hiki ndo wanafunga..ila nadhan lazima uwe karibu na minara yao ili internet iwe stable.
images.jpg
 
Hizo gharama ni zaidi ya internet ya Elon Musk ( Starlink )

Hawa dawa Yao ni Starlink ikifika Tanzania ofisii zao watafugia kuku na BATA ...

Ingia humu uone kama tanzania huduma za Starlink zimeshafika.



Unachofanya unaagiza dish linakufukia hata kama unaishi Nanjilinji, Vifurushi unakuwa unalipia Kwa Kadi. Na Vifurushi vyao ni cheap kuliko hivi vya kinyonyaji + speed ya internet Yao ni ya kiwango cha juu kuliko hii ya Mitandao yetu ya kinyonyaji

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Satelite internet haiwezi ku compete na Fiber ama hata 4G. Hii ni internet ya watu ambao wapo remote.

Na pia starlink sio Cheap, $500 installation na $99 kila mwezi, hivyo Fiber ama hizo Superkasi ni Cheap na speed nzuri.

Ingia subreddit ya starlink kuona reviews na Feedback za watu wanaoitumia kwa sasa. Vitu vyote vinavyohitaji latency ni shida.
 
Zuku hawajafika nje ya katikati ya jiji. Mwisho kkoo, upanga mpaka Kinondoni ya Morocco.

Sema hio voda Superkasi 20mbps kwa 115,000 si mbaya. Sababu Zuku 10mbps ni 70,000. Munaweza kuchanga Familia 2 mkagawana 10mbps kwa hio 67500. Ama kujibana Hata familia 3 ama 4 mnatumia, uwe tu na Router nzuri ili msije Dhulumiana speed.
hyo ya voda ni unlimited???
 
Jamaa anatukana utadhani jf ndiyo inatoa bei elekezi.

Anaandika typos nyingi mtu anajitolea kumjibu bila kuhukumu yeye anaanza matusi
Nimekuta mada ya mtu ambaye yuko kwenye ignore list yangu ikabidi nisome michango ya wadau. Ila kumbe sikukosea kumuweka ignore list, wala sijui nilimuwekaj lini na alifanya nini
 
Back
Top Bottom