Hizo gharama ni zaidi ya internet ya Elon Musk ( Starlink )
Hawa dawa Yao ni Starlink ikifika Tanzania ofisii zao watafugia kuku na BATA ...
Ingia humu uone kama tanzania huduma za Starlink zimeshafika.
High-speed internet. Available almost anywhere on Earth.
www.starlink.com
Unachofanya unaagiza dish linakufukia hata kama unaishi Nanjilinji, Vifurushi unakuwa unalipia Kwa Kadi. Na Vifurushi vyao ni cheap kuliko hivi vya kinyonyaji + speed ya internet Yao ni ya kiwango cha juu kuliko hii ya Mitandao yetu ya kinyonyaji
Sent from my SM-A032F using
JamiiForums mobile app