- Thread starter
- #81
washamba ni
nyinyiKwahiyo Hadi hivi sasa, umeona Nani ni mshamba Kati yako na uliemuita Mshamba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyinyiKwahiyo Hadi hivi sasa, umeona Nani ni mshamba Kati yako na uliemuita Mshamba?
Sawa kilazawashamba ni
nyinyi
kichwa nazi at workSawa kilaza
nipe mchongo io ipoje maana nilienda ofisi za airtel pale j mo posta wakaniambia hamna huduma ioAirtel gharama ya installation ni usd 500
Hata mimi ningekufukuza tu unaonekana bogasnipe mchongo io ipoje maana nilienda ofisi za airtel pale j mo posta wakaniambia hamna huduma io
Mkuu niuzie vifaa vya konnect Kama unahama mtandaoNiliwasumbua hadi nikahamia connect 16, maana hawa walisema Zuku itakuwa tayari Mwezi wa 6
Kweli bana wametupendelea mno kila nyumba, connect atakosa wateja maana inakatika hovyo
Vifaa vyao ni mali yao.Mkuu niuzie vifaa vya konnect Kama unahama mtandao
70 Ila unalipa Kwa full year?Vifaa vyao ni mali yao.
Ukiwalipa 70 wanakuunga pamoja na vifaa
Tutaweka zote Zuku na Connect maana eneo lahitaji router zaidi ya 3
Kwa miezi 270 Ila unalipa Kwa full year?
Dah hebu nipe contact ya huyo mtu wako maana hawa WA huku walinambia unalipa mwaka mzima ndo wanakupa vifaa bureKwa miezi 2
Na hiyo super kasi wanafunga kila mikoa au bado wako baadhi tu ya maeneno ya Dar maana najuwa hata Zuku wako kati tu Dar sidhani hata kama mikoa mingine wamefika, Tunaomba darasa ni kina nani wako karibia mikoa mingi sio Dar tu, tupeni darasa humu na sisi tujuwe la kufanya.Hapo nimekuelewa mkuu sio mbaya saf kabsa ntafanya mchakato
Hakuna kitu kizuri na chepesi kama kusema sorry nimekosea neno dogo lakini ni zito sana. Mwambie tu "Sorry" humu tupeni darasa tujifunze bila maneno ya kejeli na maudhi.mshamba sio tusi ni mtu asiuejua kitu fulan mbona pia nimemsifia jamaa kuna mambo anayajua huyo ila wakuu ilo hamkuona