Simbanet internet gharama utata

Simbanet internet gharama utata

renamaizo

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2014
Posts
2,136
Reaction score
3,074
Habari Wadau hope wote mpo poa

Sasa wakuu kwa sisi wengine internet no very important na mitandao ya simu nu zengwe fupya mpini yaand unaenda Huuliza unlimited internet unaambiwa 50,000 lakoni ajabu Kana limot 50GB

Mimi nikaona usiwe tabu nikawa natafuta Unternet mbadala ndoo hapo na kaingda SIMBANET aisee

gharama nolizokuta huko nimekimbia

Instalation 1,400,000/=

Bando per mounth 550,000

Sara wadau nauliza hizo gharama ni kweli au wanataka Kundpoga

Naombeni msaada mm nipo Gongo la Mboto
 
Habari Wadau hope wote mpo poa

Sasa wakuu kwa sisi wengine internet no very important na mitandao ya simu nu zengwe fupya mpini yaand unaenda Huuliza unlimited internet unaambiwa 50,000 lakoni ajabu Kana limot 50GB

Mimi nikaona usiwe tabu nikawa natafuta Unternet mbadala ndoo hapo na kaingda SIMBANET aisee

gharama nolizokuta huko nimekimbia

Instalation 1,400,000/=

Bando per mounth 550,000

Sara wadau nauliza hizo gharama ni kweli au wanataka Kundpoga

Naombeni msaada mm nipo Gongo la Mboto
Sababu internet yao ni dedicated. Sio shared.

Jamaa wapo vizuri kama una matumizi ya kiofisi,
 
usibishe zuku ni dedicated unajua maana ya internet shared

shared means ukiextend speed itagawanyika sisi ofisin kuna pc zaid ya 10 tunatumia roiter moja wote tunapata 10Mbps
So unabishana na zuku wenyewe? Soma Terms zao wenyewe

Capture+_2022-05-09-21-54-23.png


Unapata speed kubwa sababu haijajaa ila watu wakiwa wengi speed inadrop.

Mara kibao Jumapili kukiwa na Mechi kubwa EpL naona Bandwidth inashuka, sometime inatoka 20 mpaka 15mbps.

Simbanet yenyewe ni dedicated na walengwa wao si mimi na wewe bali makampuni. Kampuni nyingi kubwa TZ zinatumia Simbanet ikiwemo likes of Metl. Unafungiwa internet Branch mbalimbali Arusha, Mwanza, Dar etc na zote zinakuwa Connected in same network, not just internet bali Intranet pia.

Computer zote zinakuwa connected, unaweza Tuma reports, kupiga simu, na mawasiliano mengine ndani ya network yenu wenyewe.
 
So unabishana na zuku wenyewe? Soma Terms zao wenyewe

View attachment 2218349

Unapata speed kubwa sababu haijajaa ila watu wakiwa wengi speed inadrop.

Mara kibao Jumapili kukiwa na Mechi kubwa EpL naona Bandwidth inashuka, sometime inatoka 20 mpaka 15mbps.

Simbanet yenyewe ni dedicated na walengwa wao si mimi na wewe bali makampuni. Kampuni nyingi kubwa TZ zinatumia Simbanet ikiwemo likes of Metl. Unafungiwa internet Branch mbalimbali Arusha, Mwanza, Dar etc na zote zinakuwa Connected in same network, not just internet bali Intranet pia.

Computer zote zinakuwa connected, unaweza Tuma reports, kupiga simu, na mawasiliano mengine ndani ya network yenu wenyewe.
ww ni mshamba kwan internet hii ya kawaida haiwez kushare files and kutuma data na kupiga simu kwa maelezo apo jua ww ni mtaalamu sema kuna kitu hukijui

ipo hv shared internet mean unatumia public IP na dedicated unatumia private IP so shared internet akija mtaalamu wa IT anaweza kuiba data zako kirahisi kuhusu spidi ni utata hata mm adi sasa sielewi cha msing nipe mbinu wapi napata unlimited internet nafuu nikiwa nje ya town ao simba net wataniua tu USD 250 per mouth no bora niende smile 180000 unlimited per mouth
 
ww ni mshamba kwan internet hii ya kawaida haiwez kushare files and kutuma data na kupiga simu kwa maelezo apo jua ww ni mtaalamu sema kuna kitu hukijui

ipo hv shared internet mean unatumia public IP na dedicated unatumia private IP so shared internet akija mtaalamu wa IT anaweza kuiba data zako kirahisi kuhusu spidi ni utata hata mm adi sasa sielewi cha msing nipe mbinu wapi napata unlimited internet nafuu nikiwa nje ya town ao simba net wataniua tu USD 250 per mouth no bora niende smile 180000 unlimited per mouth
mkuu umetumia lugha kali sana kwa jamaa.Unaweza toa maoni bila lugha ya kumkwaza mtu.Ila pia uliye mwambia mshamba anategemewa humu ndani michango yake upande wa tech.Hebu pitia michango yake/
Pia kuna uzi unaongelea wapi kuna unafuu wa kununua data.upitie hapa
 
ww ni mshamba kwan internet hii ya kawaida haiwez kushare files and kutuma data na kupiga simu kwa maelezo apo jua ww ni mtaalamu sema kuna kitu hukijui
Kama kitu hujui wewe ndio uliza,
Unapigaje hio simu? Kwa hizi viber kutumia server za marekani? Mtafute mtaalamu yoyote wa Networking atakuelezea jinsi network ya jengo inavyoweza kutengenezwa.

Hata wewe unaweza ukatest mwenyewe kwako ama hapo ofisini kwenu, ukiwa na router vifaa vyako vyote vinakuwa on same network, vinaweza kuwasiliana, kushare files, etc.

Sasa Simbanet inafanya Branch za kampuni Zote nchi nzima kuwa on same network.

Kwa Simbanet nimeshaona kampuni fulani system zao zinazofanya kazi. wana software (Erp) inatumika Nchi nzima, report, mawasiliano, data Feeding na mambo mengine yanafanyika ndani ya kampuni tu, hata ukiweka modem ya Voda haifanyi kazi.

Mkiwa on same network mnakuwa secure sababu vitu vyote vinafanyika ndani yenu, server zenu, Voip yenu kila kitu chenu.

Hii graph yao inaelezea vizuri sana
mpls.jpg

ipo hv shared internet mean unatumia public IP na dedicated unatumia private IP
Dedicated means mnakubaliana mfano umechagua 5mbps wanakupa Exactly hio speed, wakati shared utaona kabisa wanaandika up to, ikishuka wao huwezi wafanya chochote.

Pia dedicated inakuwa na uptime mliokubaliana, leo zuku inaweza kata siku nzima ama Voda ama Tigo, sana sana wataomba msamaha ama kupotezea, ila dedicated mnakubaliana uptime fulani unaweza kushitaki ama kurefund etc.
so shared internet akija mtaalamu wa IT anaweza kuiba data zako
Kampuni inayonunua Simbanet likely mtu wa IT haji, pengine ina Team ya watu wa IT wameajiriwa.
kirahisi kuhusu spidi ni utata hata mm adi sasa sielewi cha msing nipe mbinu wapi napata unlimited internet nafuu nikiwa nje ya town ao simba net wataniua tu USD 250 per mouth no bora niende smile 180000 unlimited per mouth
Nyuzi kibao zipo Humu, 20mbps Vodacom 115,000 Superkasi. Unlimited.
 
ww ni mshamba kwan internet hii ya kawaida haiwez kushare files and kutuma data na kupiga simu kwa maelezo apo jua ww ni mtaalamu sema kuna kitu hukijui

ipo hv shared internet mean unatumia public IP na dedicated unatumia private IP so shared internet akija mtaalamu wa IT anaweza kuiba data zako kirahisi kuhusu spidi ni utata hata mm adi sasa sielewi cha msing nipe mbinu wapi napata unlimited internet nafuu nikiwa nje ya town ao simba net wataniua tu USD 250 per mouth no bora niende smile 180000 unlimited per mouth
Mkuu umekuja kuuliza, watu wanakujibu , unakuwa mkali na kutukana..

Jifunze kuwa mstaarabu, huyo unayemuita mshamba sisi wote humu tunamtengemea kwenye mambo ya tech na vifaa vya electronics.
 
ww ni mshamba kwan internet hii ya kawaida haiwez kushare files and kutuma data na kupiga simu kwa maelezo apo jua ww ni mtaalamu sema kuna kitu hukijui

ipo hv shared internet mean unatumia public IP na dedicated unatumia private IP so shared internet akija mtaalamu wa IT anaweza kuiba data zako kirahisi kuhusu spidi ni utata hata mm adi sasa sielewi cha msing nipe mbinu wapi napata unlimited internet nafuu nikiwa nje ya town ao simba net wataniua tu USD 250 per mouth no bora niende smile 180000 unlimited per mouth
Hii jamaa ni nyumbu ka Maguire
 
So unabishana na zuku wenyewe? Soma Terms zao wenyewe

View attachment 2218349

Unapata speed kubwa sababu haijajaa ila watu wakiwa wengi speed inadrop.

Mara kibao Jumapili kukiwa na Mechi kubwa EpL naona Bandwidth inashuka, sometime inatoka 20 mpaka 15mbps.

Simbanet yenyewe ni dedicated na walengwa wao si mimi na wewe bali makampuni. Kampuni nyingi kubwa TZ zinatumia Simbanet ikiwemo likes of Metl. Unafungiwa internet Branch mbalimbali Arusha, Mwanza, Dar etc na zote zinakuwa Connected in same network, not just internet bali Intranet pia.

Computer zote zinakuwa connected, unaweza Tuma reports, kupiga simu, na mawasiliano mengine ndani ya network yenu wenyewe.
Kajamaa kabishi sana

Kuna hawa wanaitwa wananchi group wamesambaza fiber mbezi beach yote ndani ya wiki hii
 
Habari Wadau hope wote mpo poa

Sasa wakuu kwa sisi wengine internet no very important na mitandao ya simu nu zengwe fupya mpini yaand unaenda Huuliza unlimited internet unaambiwa 50,000 lakoni ajabu Kana limot 50GB

Mimi nikaona usiwe tabu nikawa natafuta Unternet mbadala ndoo hapo na kaingda SIMBANET aisee

gharama nolizokuta huko nimekimbia

Instalation 1,400,000/=

Bando per mounth 550,000

Sara wadau nauliza hizo gharama ni kweli au wanataka Kundpoga

Naombeni msaada mm nipo Gongo la Mboto
 
Back
Top Bottom