Stoudemire
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 839
- 208
Acheni speculations vijana.
Hiyo list mimi nililetewa hapa mezani kwangu kutoka ofisi ya mkuu ilikuwa na jina la Simbachawene, Jenista Mhagama na January Makamba lakini mheshimiwa ametaka aipitie upya so naomba mtulie kwanza, acheni jazba!
Hiyo list mimi nililetewa hapa mezani kwangu kutoka ofisi ya mkuu ilikuwa na jina la Simbachawene, Jenista Mhagama na January Makamba lakini mheshimiwa ametaka aipitie upya so naomba mtulie kwanza, acheni jazba!