Kassim Awadh
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 884
- 187
Taarifa under the carpet ni kwamba mbunge wa Kibakwe Simbachawene ameingia kwenye baraza jipya la mawaziri litakalotangazwa muda c mrefu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taarifa under the carpet ni kwamba mbunge wa Kibakwe Simbachawene ameingia kwenye baraza jipya la mawaziri litakalotangazwa muda c mrefu!
Huyu kamanda namkubali. Wacha tu nitose shilingi yangu hapo.
Mhhhhh, sidhani kama anaweza kuteua mawaziri wawili toka Mpwapwa, au mie ndo nachemka kuwa naibu waziri wa fedha pia anatoka mpwapwa!
Taarifa under the carpet ni kwamba mbunge wa Kibakwe Simbachawene ameingia kwenye baraza jipya la mawaziri litakalotangazwa muda c mrefu!
Huyu tunacheza naye Pool, akipewa wizara yenye utamu basi Matola na mimi ni heri nijiunge na kundi la wahujumu uchumi, siwezi kutoka kapa huyu jamaa akipata Wizara tamu.Huyu kamanda namkubali. Wacha tu nitose shilingi yangu hapo.
Huyu kamanda namkubali. Wacha tu nitose shilingi yangu hapo.
Huyu huyu kwa kauli yake alisema ni kheri raia wafe kuliko polisi kujeruhiwa au kufa!
Akimaanisha raia kupigwa risasi ni sawa tuu
Nakumbuka aliposema hayo na miwan yake usoni
Huyu huyu leo awe waziri kazi tunayo
Wakuu!
Kweli mna moyo wa chuma. Hivi ni nani msafi ndani ya Chama Cha Mafisadi kiasi kwamba mna matumaini makubwa kiasi hiki?
Huyo mteuaji mwenyewe anashindwa amuweke nani maana akiaangalia wote ni wale wale. Kwamba ana fanana nao!!!!!!!!!!!
Jamaa yuko Udom anaongeza Elimu, kutokana CCM kuwa na Wabunge wengi Vilaza huyu anafaa kupewa Uwaziri, sisemi hivi kwa sababu ya kufahamiana naye ila jamaa ni Gentleman ambaye akipewa fursa anaweza kulitumikia Taifa, nadhani hata akiwaga Mwenyekiti wa Bunge huwa anamzidi hata Spika Makinda kwa kuliendesha Bunge.Japo si wa itikadi yangu, pamoja na kwamba alipa four ya 28 Olevel Namkubali sana. Amewapita hata magamba wenye degree