chriss makoba
Member
- Oct 5, 2012
- 50
- 10
Kwann serikali inashidwa kufanya mambo yake kwa usahihi na badala yake inakuwa inasingizia vyama vya siasa. hivi watanzania hawachoki na ahadi bubu na mipango isiyo na tija, mpaka mtu awambie au chama kitanganze? Serikal inapaswa kuwa makin; kwan maisha magum ndo chanzo cha kudai haki nchin na wala s shirikizo kutoka upande wowote.