CCM Wangefanya lamaana sana kwa kuwaondoa wawekezaji wote nchini...hadi wale wanaochukua Dhahabu zetu burebure kule Geita, Kahama, Singida, Nyamongo, Serengeti na Chunya...Waondoeni wote wenye kuchimba Uranium, Almasi, Tanzanite, Gesi, Nickel na hata Gypsum kule upareni...Mkimaliza waondoeni wawekezaji mliowapa vitalu vya uwindaji kwa bei chee...sababu, nia na uwezo mnao coz Wananchi wote kwa sasa ni Wahaini Kwa CCM na Serikali yake...
...mgetusaidia sana ili 2015 tuanze upya ...!!! kisha baada ya miaka 10 tuwatoe keko/ukonga mshuhudie kwa mshangao nchi ya ahadi tunayo iota kila kukicha...
Naibu Waziri wa Nishati na Madini na Mbunge wa Kibakwe-CCM,George Simbachawene ametoa mpya.
Amependekeza mitambo ya kuchimba gesi asilia mkoani Mtwara ing'olewe ikiwa ni kuwaadhibu wananchi wa Mtwara aliowaita wahaini. Katika mazungumzo yake kwa njia ya simu na Makada wa Chama cha Mapinduzi walioko Ofisi Ndogo za CCM -Lumumba Dar es Salaam, Simbachawene alisema watu wa Mtwara ni waasi na wanapaswa kushughulikiwa ipasavyo.
Mazungumzo hayo yalifuatia nia ya Makada wa CCM kutaka kupata maoni ya Naibu Waziri huyo juu ya nini hasa alijionea alipofanya ziara ya kushtukiza mkoani Mtwara. Simbachawene, bila kubana maneno, amesikika akisema: 'Cha kufanya ni kuwaamuru Wawekezaji wote waliopo katika machimbo ya gesi Mtwara kung'oa mitambo yao ili tuone kama gesi hiyo itatumika nao wananchi hao'
Katika kile kinachoonekana ni kuchoka kuoongoza kwa CCM,baadhi ya makada maarufu wa CCM akiwemo William Lukuvi,kwa nyakati tofauti leo, wameonesha kuguswa na kukubaliana na pendekezo la Simbachawene. Pia inapendekezwa kuwa Mh.Murji (Mbunge wa Mtwara Mjini-CCM) afikishwe kwenye vikao vya chama ili kufunzwa uzalendo wa kusimamia maamuzi ya chama na Serikali.
Wenu,
VUTA-NKUVUTE a.k.a Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam
hivi atakuwa anamkomoa nani?? ila kwa ninavyomfaham huyo bwana, ni ngumu kuamini kama ni kweli maneno hayo yametoka kinywani mwake.....angesema lukuvi (std VII) Nisingekuwa kuwa na shaka sana......:becky::becky:
Naibu Waziri wa Nishati na Madini na Mbunge wa Kibakwe-CCM,George Simbachawene ametoa mpya.
Amependekeza mitambo ya kuchimba gesi asilia mkoani Mtwara ing'olewe ikiwa ni kuwaadhibu wananchi wa Mtwara aliowaita wahaini. Katika mazungumzo yake kwa njia ya simu na Makada wa Chama cha Mapinduzi walioko Ofisi Ndogo za CCM -Lumumba Dar es Salaam, Simbachawene alisema watu wa Mtwara ni waasi na wanapaswa kushughulikiwa ipasavyo.
Mazungumzo hayo yalifuatia nia ya Makada wa CCM kutaka kupata maoni ya Naibu Waziri huyo juu ya nini hasa alijionea alipofanya ziara ya kushtukiza mkoani Mtwara. Simbachawene, bila kubana maneno, amesikika akisema: 'Cha kufanya ni kuwaamuru Wawekezaji wote waliopo katika machimbo ya gesi Mtwara kung'oa mitambo yao ili tuone kama gesi hiyo itatumika nao wananchi hao'
Katika kile kinachoonekana ni kuchoka kuoongoza kwa CCM,baadhi ya makada maarufu wa CCM akiwemo William Lukuvi,kwa nyakati tofauti leo, wameonesha kuguswa na kukubaliana na pendekezo la Simbachawene. Pia inapendekezwa kuwa Mh.Murji (Mbunge wa Mtwara Mjini-CCM) afikishwe kwenye vikao vya chama ili kufunzwa uzalendo wa kusimamia maamuzi ya chama na Serikali.
Wenu,
VUTA-NKUVUTE a.k.a Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam
Unaspin ukweli Simbachaweme alikuwa Mtwara kuna mwananhci alieleza jinsi walivyomzuia na magogo kumzuia njia ilikuwa live channel ten Generali on Monday be carefulMpaka sasa siamini tena taarifa zinazoandikwa humu na watu fulani kuhusiana na suala la gesi mtwara. Mwanzo mkaripoti kuwa Simbachawene alikwenda Mtwara kumbe ulikuwa uongo na wala hajakanyaga mtwara mwaka huu 2013. Sasa huyu naye anakuja na habari zingine kabisa ama kweli hii ndiyo jamii forum... Kwa nini visiandikwe vitu vyenye ushahidi hapa kuliko kuumba stori kila mara.
Big up Simbachawene! tutapataje hasira za kuing'oa ccm madarakani bila ya statement zenye maudhi kama hizi!?? we need more of the alike statement ili hata alielala aamke! aione ccm katika sura yake halisia ya unyang'au!
wao wanadhani watakuwepo madarakani milele, kumbe 2015 lazima watoke wapende wasipende.mawazo yao ni ya kitoto sana.Mtwara wamedhamiria kuona mwisho wa dhuruma unafika. haiwezekani watu wachache watuchezee namna hiyo.Mzee Tupatupa huyo Waziri zamani tulielezwa zamani na mwana JF mmoja kuwa alikuwa mpiga debe pale kituo cha mabasi Dodoma, kukua na kuendelea kisiasa kumemfanya awe kipofu, yeye amesikia wananchi wamekasirika kwa jinsi mkuu wa mkoa, na waziri Muhongo matusi yao yalivyowaudhi wananchi.
Kama sio kulewa madaraka fedha zote zilizolipwa za utafutaji gesi, uaandaaji wa mradi na mikopo iliyokopwa atalipa mama yake hivi haya MACCM tumeshindwa vipi kuyang'oa mbona yanajifanya yako juu ya sheria na wananchi.
Wang'oe wana mtwara watafurahi wakichagua serikali nyingine watazungumza namna ya kuendesha mradi huo isiwe tabu