Simbachawene: Mitambo ya Gesi Mtwara ing'olewe

Simbachawene: Mitambo ya Gesi Mtwara ing'olewe

Hawana lolote huo ni upepo utapita na gesi itaenda na wao watabaki na mashimo na uchaguzi ukifika tutashinda tena kwa kishindo.
 
Waliochoka na haya madudu ya serikali ya ccm, wanachi wamekata tamaa na serikali yao.
Hizi kauli za viongozi wasijedhani wanawalenga wanamtwara pake yake, hili suala la gesi lisipopatiwa ufumbuzi wa dhati, chachu ya mtwara huenda ikaenea nchi nzima.
 
uongozi miaka 50 na mwenyekiti wa bunge kauli ndo hizo jamani mnataka ushahidi upi kuwa hamna ccm huo uzoefu wa kuongoza uko wapi??
 
Swadakta! Hakika haya majitu ya CCM yameishiwa na yanazidi kuwa mazuzu. Ni vema uje ung'oe hiyo mitambo haraka na siyo hii ya Mtwara tu bali yote iliyopo hapa nchini. Hii nchi si mmepewa urithi na baba na mama zenu?
 
CCM Wangefanya lamaana sana kwa kuwaondoa wawekezaji wote nchini...hadi wale wanaochukua Dhahabu zetu burebure kule Geita, Kahama, Singida, Nyamongo, Serengeti na Chunya...Waondoeni wote wenye kuchimba Uranium, Almasi, Tanzanite, Gesi, Nickel na hata Gypsum kule upareni...Mkimaliza waondoeni wawekezaji mliowapa vitalu vya uwindaji kwa bei chee...sababu, nia na uwezo mnao coz Wananchi wote kwa sasa ni Wahaini Kwa CCM na Serikali yake...

...mgetusaidia sana ili 2015 tuanze upya ...!!! kisha baada ya miaka 10 tuwatoe keko/ukonga mshuhudie kwa mshangao nchi ya ahadi tunayo iota kila kukicha...

Taarifa ya habari TBC leo saa 2 katika habari za biashara Stanley Genzel ameripoti kuwa 75% ya madini ya dhababu na tanzanite inayochimbwa na hao wawekezaji hairipotiwi. Kwa lugha nyingine inaibiwa na hivyo huo mrahaba tunaopewa ni wa ile 25% inayobaki. Shame !!
 
Naibu Waziri wa Nishati na Madini na Mbunge wa Kibakwe-CCM,George Simbachawene ametoa mpya.

Amependekeza mitambo ya kuchimba gesi asilia mkoani Mtwara ing'olewe ikiwa ni kuwaadhibu wananchi wa Mtwara aliowaita wahaini. Katika mazungumzo yake kwa njia ya simu na Makada wa Chama cha Mapinduzi walioko Ofisi Ndogo za CCM -Lumumba Dar es Salaam, Simbachawene alisema watu wa Mtwara ni waasi na wanapaswa kushughulikiwa ipasavyo.

Mazungumzo hayo yalifuatia nia ya Makada wa CCM kutaka kupata maoni ya Naibu Waziri huyo juu ya nini hasa alijionea alipofanya ziara ya kushtukiza mkoani Mtwara. Simbachawene, bila kubana maneno, amesikika akisema: 'Cha kufanya ni kuwaamuru Wawekezaji wote waliopo katika machimbo ya gesi Mtwara kung'oa mitambo yao ili tuone kama gesi hiyo itatumika nao wananchi hao'

Katika kile kinachoonekana ni kuchoka kuoongoza kwa CCM,baadhi ya makada maarufu wa CCM akiwemo William Lukuvi,kwa nyakati tofauti leo, wameonesha kuguswa na kukubaliana na pendekezo la Simbachawene. Pia inapendekezwa kuwa Mh.Murji (Mbunge wa Mtwara Mjini-CCM) afikishwe kwenye vikao vya chama ili kufunzwa uzalendo wa kusimamia maamuzi ya chama na Serikali.

Wenu,
VUTA-NKUVUTE a.k.a Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam


Acha porojo weka source hapo.
 
Khaa,, eti hizi ni akili za kiongozi maajabu kabisa haya. Unawezaje kuongelea revenge kwa wananchi ambao inabidi uwatumikie?na unatumia kodi zao kwa mshahara wako? Where is the sense of responsibility?
 
hivi atakuwa anamkomoa nani?? ila kwa ninavyomfaham huyo bwana, ni ngumu kuamini kama ni kweli maneno hayo yametoka kinywani mwake.....angesema lukuvi (std VII) Nisingekuwa kuwa na shaka sana......:becky::becky:

Tena?mbona tuliambiwa lukuvi ana master degree'mnatuchanganya wakuu
 
Naibu Waziri wa Nishati na Madini na Mbunge wa Kibakwe-CCM,George Simbachawene ametoa mpya.

Amependekeza mitambo ya kuchimba gesi asilia mkoani Mtwara ing'olewe ikiwa ni kuwaadhibu wananchi wa Mtwara aliowaita wahaini. Katika mazungumzo yake kwa njia ya simu na Makada wa Chama cha Mapinduzi walioko Ofisi Ndogo za CCM -Lumumba Dar es Salaam, Simbachawene alisema watu wa Mtwara ni waasi na wanapaswa kushughulikiwa ipasavyo.

Mazungumzo hayo yalifuatia nia ya Makada wa CCM kutaka kupata maoni ya Naibu Waziri huyo juu ya nini hasa alijionea alipofanya ziara ya kushtukiza mkoani Mtwara. Simbachawene, bila kubana maneno, amesikika akisema: 'Cha kufanya ni kuwaamuru Wawekezaji wote waliopo katika machimbo ya gesi Mtwara kung'oa mitambo yao ili tuone kama gesi hiyo itatumika nao wananchi hao'

Katika kile kinachoonekana ni kuchoka kuoongoza kwa CCM,baadhi ya makada maarufu wa CCM akiwemo William Lukuvi,kwa nyakati tofauti leo, wameonesha kuguswa na kukubaliana na pendekezo la Simbachawene. Pia inapendekezwa kuwa Mh.Murji (Mbunge wa Mtwara Mjini-CCM) afikishwe kwenye vikao vya chama ili kufunzwa uzalendo wa kusimamia maamuzi ya chama na Serikali.

Wenu,
VUTA-NKUVUTE a.k.a Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam


Mpaka sasa siamini tena taarifa zinazoandikwa humu na watu fulani kuhusiana na suala la gesi mtwara. Mwanzo mkaripoti kuwa Simbachawene alikwenda Mtwara kumbe ulikuwa uongo na wala hajakanyaga mtwara mwaka huu 2013. Sasa huyu naye anakuja na habari zingine kabisa ama kweli hii ndiyo jamii forum... Kwa nini visiandikwe vitu vyenye ushahidi hapa kuliko kuumba stori kila mara.
 
Mpaka sasa siamini tena taarifa zinazoandikwa humu na watu fulani kuhusiana na suala la gesi mtwara. Mwanzo mkaripoti kuwa Simbachawene alikwenda Mtwara kumbe ulikuwa uongo na wala hajakanyaga mtwara mwaka huu 2013. Sasa huyu naye anakuja na habari zingine kabisa ama kweli hii ndiyo jamii forum... Kwa nini visiandikwe vitu vyenye ushahidi hapa kuliko kuumba stori kila mara.
Unaspin ukweli Simbachaweme alikuwa Mtwara kuna mwananhci alieleza jinsi walivyomzuia na magogo kumzuia njia ilikuwa live channel ten Generali on Monday be careful
 
Fisichawene ndiyo kitu gani unafanya sasa ? Kweli uwaziri unapofusha ! Kutoka kupiga debe hadi kuwadharau wana Mtwara duh ! Halafu wewe Tupatupa huwaogopi Nape na Tiss yake waliozunguka Lumumba hapo ! Kila siku unaleta mambo ya jikoni , Shauri yako !
 
Mnajua nini mazee chawene yeye na mkuu wa mkoa wa matwara jana walitaka kufanyiwa kitu mbaya na wanakijiji wa msimbati kule ambako gesi inatoka, walijifanya ziara ya siri wenyewe wakali wakaigoogle wakaambizana wakapanga mawe barabarani wakimuwinda chawene, weeee intellegence wakamwambia ukifika huko wakikukamata watakutafuna wana hasira, msafiri ukaishia njiani wakarudi mtwara mjini, hawa ghasia anadai kuwa madai ya gesi ni y watu wa mtwara mjini, alishaambiwa zamani sana na watu wakijiji cha msimbati kuhusu gesi, kama mbunge wa sehemu muhimu kama hiyo kwa woga ana zaidi ya mwaka na nusu sasa hajafika huko, pengine labda huwa hamsikii sana habari za mtwara lakini huku ukisema tu gesi itaenda dar unaweza ukapigwa ngumi kwa taarifa hata mkuu wamkoa siku hizi haonekeni issue nyingi anafanya mkuu wa wilya na tarehe 21/01/2013 kuna maandamano tena ila haya ni ya kumg'oa mkuu wa mkoa kwa matusi yake na kashfa, sio siri yeyote aliye ccm aje tu ang'oe mitambo waende zao, mtwara ya 2012/6 haifanani kabisa na leo watu wamechoka wanataka kumwajibisha kila anayewapinga na kama ccm wakiendelea na jeuri hii mtwara uchaguzi wa wabunge na madiwani utafanyika mwaka huuuuuuuuuuu:A S angry:
 
Mzee Tupatupa huyo Waziri zamani tulielezwa zamani na mwana JF mmoja kuwa alikuwa mpiga debe pale kituo cha mabasi Dodoma, kukua na kuendelea kisiasa kumemfanya awe kipofu, yeye amesikia wananchi wamekasirika kwa jinsi mkuu wa mkoa, na waziri Muhongo matusi yao yalivyowaudhi wananchi.

Kama sio kulewa madaraka fedha zote zilizolipwa za utafutaji gesi, uaandaaji wa mradi na mikopo iliyokopwa atalipa mama yake hivi haya MACCM tumeshindwa vipi kuyang'oa mbona yanajifanya yako juu ya sheria na wananchi.

Wang'oe wana mtwara watafurahi wakichagua serikali nyingine watazungumza namna ya kuendesha mradi huo isiwe tabu
wao wanadhani watakuwepo madarakani milele, kumbe 2015 lazima watoke wapende wasipende.mawazo yao ni ya kitoto sana.Mtwara wamedhamiria kuona mwisho wa dhuruma unafika. haiwezekani watu wachache watuchezee namna hiyo.
 
Mtwara ndiyo ilikuwa ngome kuu ya ccm. Sasa naona ngome ya ccm sasa imebakia Zanzibar (Unguja) vijijini tu!
 
Simbachawene alikuwa mpiga debe wa mabasi unategemea nini? ,yeye na lukuvi ni janga la kitaifa.
 
Back
Top Bottom