Simbachawene: Mitambo ya Gesi Mtwara ing'olewe

Simbachawene: Mitambo ya Gesi Mtwara ing'olewe

Hata kabla ya gesi wanamtwara walikuwa wakiishi vyema tu. Wana kilimo na bahari na utalii
 
Huyu jamaa Simbachawane is full of contoversials, nilishangaa hata JK alipomchagua kuwa Naibu Waziri. Mojawapo ya controversial statement aliyowahi kuitoa akiwa bungeni ni kwamba "ASKARI POLISI NI HALALI KUWAWASHA RISASI ZA MOTO WAANDAMANAJI KWASABABU ASKARI HAO WANAKUWA WANALINDA RAIA WENGINE AMBAO HAWAKUANDAMANA" Nikajiuliza hivi kweli huyu jamaa ana degree ya sheria?

Leo kweli kama naibu waziri anakuja kutoa pendekezo la aina hiyo? Huu ni ulevi wa madaraka uliopitiliza. I'm mouth open and speechless!!!!.
 
Ndo uwezo wake wa kufikiri ulipoishia hapo huyu mshauri wa raisi. Kesho tukisikia raisi amefanya maamuzi ya hovyo wala tusishangae kama washauri wenyewe ndio hawa wenye akili za kifisichawene.
 
Masikini, huyu jamaa anahitaji mapumziko. Apelekwe hospitali.
 
haijatukera jamani gesi yetu huko ilikojikalia, nyie tu na nyer**** zenu kutaka kuifukua na kuipeleka Dar nasikia fedha ktk mradi huu zilitakiwa zisaidie 2013 ktk uchaguzi mkuu kukifaidisha chama chetu. kwani ni lazima mfukue gesi yetu? mkafukue ya kwenu huko Dodoma. tutajifukulia wenyewe siku ikifika.
 
hivi atakuwa anamkomoa nani?? ila kwa ninavyomfaham huyo bwana, ni ngumu kuamini kama ni kweli maneno hayo yametoka kinywani mwake.....angesema lukuvi (std VII) Nisingekuwa kuwa na shaka sana......:becky::becky:

hata msomi akiona mambo aliyoyapanga ili kijinufaisha yanakwenda mrama hutoa lugha kama hizo. rejea kauli ya pinda wakati ule wa sokomoko la dr ulimboka mkuu.
 
hiyo kweli ni akili ya kilumumba lumumba na mawazo ya kufikiri kimasaburi masaburi
 
Unaweza ukawa umeenda shule ukawa na degree kama mia hivi lakini kama kichwa na elimu havina uhusiano mzuri hapo unakuwa haujaelimika bali umeondoa ujinga.Inawezekana mwenzetu Simbachawene ameondoa ujinga ila ELIMU bado sana!Kuna kitu kinaitwa kwa kizungu "EDUCATED FOOL" tuwaangalie hawa viongozi wetu wanaotoa matamko yasiyo na mashiko.
 
Hizo ni hasira baada ya yeye kuangushiwa miti barabarani ili asipite kwenda kule Mnazi Bay. Kumbukeni kila mdharau mwiba mguu huota tende. Fanyeni mzaha tu. Kesho mtawakuta watu wa mtwara wakimili maghala ya silaha za kisasa, maroketi na makomandoo kibao hapo ndipo mtakapojiuliza kulikoni
 
Bora ibaki huko iliko,mbana hata Nyerere alishasema bora madini yangebaki ardhini" kwani
toka madini yameanza kuchimbwa watanzania tunafaidika na nini? zaidi ya kuachiwa mashimo"
 
Wana mtwara andaeni mishale na mikuki mnatakiwa muanze kwa vitendo wamezoea kuiba hao. Wapigeni ile ya sumu kabisa. Hongeren wana mtwara kwani hiyo gesi enzi za nyuma haikuagepo? Sasa haraka zanini? lema anakuja mzee wa m4c mpeni sapoti amalizie hako kangwe mshashinda. Wekeni chini gesi mjipange kwanza msikurupuke mtakua kama mwadui na mererani geita pamebaki mashimo wao wameenda kujenga nvumba za m70 na zaidi na hawajafanywa kitu komaen pasitoke kitu nahata uchawi fanyeni wavimbe migu hao ------ akija asirudi mzima mbendueni kabisa
 
Naibu Waziri wa Nishati na Madini na Mbunge wa Kibakwe-CCM,George Simbachawene ametoa mpya.

Amependekeza mitambo ya kuchimba gesi asilia mkoani Mtwara ing'olewe ikiwa ni kuwaadhibu wananchi wa Mtwara aliowaita wahaini. Katika mazungumzo yake kwa njia ya simu na Makada wa Chama cha Mapinduzi walioko Ofisi Ndogo za CCM -Lumumba Dar es Salaam, Simbachawene alisema watu wa Mtwara ni waasi na wanapaswa kushughulikiwa ipasavyo.

Mazungumzo hayo yalifuatia nia ya Makada wa CCM kutaka kupata maoni ya Naibu Waziri huyo juu ya nini hasa alijionea alipofanya ziara ya kushtukiza mkoani Mtwara. Simbachawene, bila kubana maneno, amesikika akisema: 'Cha kufanya ni kuwaamuru Wawekezaji wote waliopo katika machimbo ya gesi Mtwara kung'oa mitambo yao ili tuone kama gesi hiyo itatumika nao wananchi hao'

Katika kile kinachoonekana ni kuchoka kuoongoza kwa CCM,baadhi ya makada maarufu wa CCM akiwemo William Lukuvi,kwa nyakati tofauti leo, wameonesha kuguswa na kukubaliana na pendekezo la Simbachawene. Pia inapendekezwa kuwa Mh.Murji (Mbunge wa Mtwara Mjini-CCM) afikishwe kwenye vikao vya chama ili kufunzwa uzalendo wa kusimamia maamuzi ya chama na Serikali.

Wenu,
VUTA-NKUVUTE a.k.a Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam
kauli ya kikwete kwenye gazeti la mwananchi,ya kusema kwamba wananchi wa mtwara awataki mikoa mingine itumie gesi,itatuletea matatizo nchini,maana hiyo ndio itakuwa kauli ya wanaccm,japokuwa sio wana mtwara wanavyotaka.
 
Hatutaki maneno tunataka vitendo wan'goe hata leo fresh sana watachimba watoto wetu
 
Ijapokuwa huwa inauma pindi roho inapouacha mwili ila mwisho roho uenda zake,kweli naona CCM inakata roho kwa machungu.
 
Back
Top Bottom