Hizo blabla za kwenye ma TV hazitawasaidia, kwanini msiende kuongea na wananchi moja kwa moja?. Sisi tunasema tumechoka na uonevu kwa miaka mingi, jambo tunalodai ni la msingi kwa maendeleo yetu na Tanzania kwa ujumla. Gas haitatoka kirahisi kama mnavyofikiri